Hongera Kenya(Kenyatta na Odinga) kwa kuuona mwanga na kufungua ukurasa mpya!

Hongera Kenya(Kenyatta na Odinga) kwa kuuona mwanga na kufungua ukurasa mpya!

Pamoja na kumpongeza Uhuru nadhani mfano mzuri wa maridhiano ya kisiasa upo Zanzibar- muafaka wa Karume na Maalim Seif uliyo zaa Serikali ya umoja wa Kitaifa.Inasikitisha CCM kwa jeuri imevuraga muafaka huu.
 


Kwa kuwa umasikini wa lugha umekuganda kama shati lililoloa, nakupa tafsiri ya kilichofanyika nchini Kenya...


Alhamisi tarehe 31/5/2018: Mapema leo asubuhi wakati wa Sara ya Kitaifa jijini Nairobi, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemuomba msamaha muhasimu wake Raila Odinga na kutaka tofauti zao za kisiasa walizokuwa nazo kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Kenya ziweze kuisha na waijenge nchi yao. Naye Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto amefanya hivyo hivyo kwa Kalonzo Musyoka.

Sisi hapa Tanzania tumefuzu katika kuupa msogo ustaarabu, tunawindana kama wanyama wa mwituni...
Utakuwa na matatizo Bure ,ya kuzaliwa au ya kurithi

Humu ndani ,unajua nafahamu lugha ngapi? Unajua nafahamu vitu vingapi?

Umeona hiyo ya sasa toka mchakato wa *Handshake* umeanza Kenya ,hii ndio umeona kwako ni cha kujifunza

Hujui lolote kuhusu siasa za Kenya na Tanzania haina ya kujifunza Kenya , unaongea sababu ya kudanganywa kwenye media lakini Mimi naweza kushusha nondo za field kuhusu Kenya unayoina kwenye media na Kenya halisi

Narudia hujui lolote kuhusu Kenya , hujui lolote kuhusu Handshake ya Kenya ,hujui lolote internal strife , ya serikalini nchini Kenya , hujui lolote kuhusu kinachofanya kila Mara Uhuru na odinga iwepo handshake Ili Ku ceasefire , hujui lolote kuhusu Kenya na count zake ,

Unachojua ni kulishwa mambo ya kwenye media

Sisi tunajua mambo ya ndani ya Kenya na tunajua kwa nini Kenyatta na Uhuru wanaonesha kupatana

Na huelewi maana ya hii kauli ya Uhuru kuwa *Naomba kaka yangu Raila unisamehe kwa yote yaliyotokea* hii kauli huwezi jua maana yake

Nakushauri endelea kuandika andika na kujifanya unajua kumbe hujui lolote na pia hicho kiingereza chako kibovu kawatafsirie kijijini kwenu , na usifikiri humu jukwaani watu wanafaham lugha moja au mbili kama wewe
 
Fala sana. Sina cha kuzungumza na asiyejielewa
Sasa sijui mimi na wewe nani fala?

Pia humu hatuzungumzi ,tunajadili kwa maandishi

Narudia tena , Tanzania haina cha kujifunza Kenya kuhusu demokrasia
 
Nimeangalia hii video ambayo inaonyesha Mh. Raila na Mh. Uhuru wakipeana mkono ikanifurahisha sana. Kuna kitu tunaweza kujifunza hapa.
Ndugu zangu kupatana ni jambo jema sana katika maisha.
 

Attachments

Nimeangalia hii video ambayo inaonyesha Mh. Raila na Mh. Uhuru wakipeana mkono ikanifurahisha sana. Kuna kitu tunaweza kujifunza hapa.
Ndugu zangu kupatana ni jambo jema sana katika maisha.
Kuna utofauti mkubwa wa kujifunza. Nitakushangaa kuona kuwa Kenyatta amefanya la maana wakati yeye alituhumiwa kuiba kura. Kwani Magufuli amemuibia nani hadi kuhitaji kusameheana?
 
Mwenzake Uhuru Kenyatta hana alichopoteza kupatana naye kwani anajua hatakosolewa tena! Hivyo upinzani kenya umeisha. Kenyatta anajua alimwibia kura odinga ndo mana roho inamsuta na kuamua kupatana harakaharaka kama hongo kwa odinga.

It is obvious kwamba odinga ndo angepaswa kuwa Rais lakini ndo hivyo tena kahonga upatanisho tena mapadre au mashehel wakabariki wizi huo
 
Mwenzake uhuru kenyata hana alichopoteza kupatana naye kwani anajua hatakosolewa tena! Hivyo upinzani kenya umeisha. Kenyata anajua alimwibia kura odinga ndo mana roho inamsuta na kuamua kupatana harakaharaka kama hongo kwa odinga.
It is obvious kwamba odinga ndo angepaswa kuwa rais lakini ndo hivyo tena kahonga upatanisho tena mapadre au mashehel wakabariki wizi huo
Uandishi wa kimagumashi kama huu ni lazima huyu ni Mtanzania tu.

Ya ngoswe muachie ngoswe yetu yanatushinda.
 
sio odinga kakubali kudanganywa sema wajaluo wamekubali kudanganywa na Baba yao

wapi MIGUNA MIGUNA
 
Mwenzake uhuru kenyata hana alichopoteza kupatana naye kwani anajua hatakosolewa tena! Hivyo upinzani kenya umeisha. Kenyata anajua alimwibia kura odinga ndo mana roho inamsuta na kuamua kupatana harakaharaka kama hongo kwa odinga.
It is obvious kwamba odinga ndo angepaswa kuwa rais lakini ndo hivyo tena kahonga upatanisho tena mapadre au mashehel wakabariki wizi huo
Unashauri Odinga angefanya nini labda kwa mfano?
 
Back
Top Bottom