Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kenya hadi sasa wana Gold 5,silver 6 na bronze 1.
Ni vizuri Watanzania tuanze na tunavyo viweza sisi na kenya tunafanana kwa kila kitu ,ndani ya miaka 10 ijayo tukijitahidi tutajenga viwanda 2 lakini tukiweka mkazo kwenye michezo tutazalisha tutapunguza tatizo la ajira kwa muda