Hongera Kenya kwa mrejesho wa kazi za Infrastructure

Hongera Kenya kwa mrejesho wa kazi za Infrastructure

Leo asubuhi nimebahatika kuwatch Citizen TV
Nikakutana na Live Kipindi kutoka State House yao kinaitwa Infrastructure Summit. Nikavutiwa kukisikiliza. Waziri wao alikuwa anaongea kuhusu kazi aliyoifanya ya Infrastructure mbele ya wadau. Baadaye kila aliyekabidhiwa kazi ya kuhakikisha miundombinu hiyo inakamilikishwa akaitwa mbele kujieleza na Moderator Jeff Koinage akawa anawahoji. Kila mmoja alieleza kafanya nini, kapata wapi fedha, amekamilisha kiasi gani, challenge ni zipo. Wadau wanauliza maswali wanatoa mapendekezo yao. Ikiwa private sector nazo zihusishwe, waondoeje traffic jam n.k. Jubilee wametekelezaje ahadi zake wameshindwa wapi yaani hadi raha. Mjadala wote ni English wanaflow hadi raha
naona wengi ni Engineers. My take: Naomba Watz tuige mfano huo wa kukutana kutoa mrejesho wa Majukumu tuliyopewa.
 
Leo asubuhi nimebahatika kuwatch Citizen TV
Nikakutana na Live Kipindi kutoka State House yao kinaitwa Infrastructure Summit. Nikavutiwa kukisikiliza. Waziri wao alikuwa anaongea kuhusu kazi aliyoifanya ya Infrastructure mbele ya wadau. Baadaye kila aliyekabidhiwa kazi ya kuhakikisha miundombinu hiyo inakamilikishwa akaitwa mbele kujieleza na Moderator Jeff Koinage akawa anawahoji. Kila mmoja alieleza kafanya nini, kapata wapi fedha, amekamilisha kiasi gani, challenge ni zipo. Wadau wanauliza maswali wanatoa mapendekezo yao. Ikiwa private sector nazo zihusishwe, waondoeje traffic jam n.k. Jubilee wametekelezaje ahadi zake wameshindwa wapi yaani hadi raha. Mjadala wote ni English wanaflow hadi raha
naona wengi ni Engineers. My take: Naomba Watz tuige mfano huo wa kukutana kutoa mrejesho wa Majukumu tuliyopewa.
 
Leo asubuhi nimebahatika kuwatch Citizen TV
Nikakutana na Live Kipindi kutoka State House yao kinaitwa Infrastructure Summit. Nikavutiwa kukisikiliza. Waziri wao alikuwa anaongea kuhusu kazi aliyoifanya ya Infrastructure mbele ya wadau. Baadaye kila aliyekabidhiwa kazi ya kuhakikisha miundombinu hiyo inakamilikishwa akaitwa mbele kujieleza na Moderator Jeff Koinage akawa anawahoji. Kila mmoja alieleza kafanya nini, kapata wapi fedha, amekamilisha kiasi gani, challenge ni zipo. Wadau wanauliza maswali wanatoa mapendekezo yao. Ikiwa private sector nazo zihusishwe, waondoeje traffic jam n.k. Jubilee wametekelezaje ahadi zake wameshindwa wapi yaani hadi raha. Mjadala wote ni English wanaflow hadi raha
naona wengi ni Engineers. My take: Naomba Watz tuige mfano huo wa kukutana kutoa mrejesho wa Majukumu tuliyopewa.
 
ni vizuri kupongeza katika kila jambo ambalo mwenzio amepiga hatua ( nakuunga mkono kwa asilmia zote) ila unaweza kunisahihisha kwa hili nitakalokueleza...

1. kupitia comments zako nimejua kuwa kitu kilichokuvutia ni matumizi ya lugha ya kiingereza zaidi ( inaonekana ni lugha unayoihusudu zaidi ).

2. Ni dhahiri kuwa huzitilii maanani sana habari za ndani ya nchi yako na pia si mtu wa kutembelea maeneo tofauti ya nchi yako katika makuzi yako kwa kuwa comments zako zimeegemea katika uelewa hafifu wa maendeleo ya nchi yako.....

yote kwa yote ,pongezi ziwaendee wakenya maana wapo vizuri katika urban planning na pengine ni zaidi yetu
Siyo kweli Tobaa, nimevutiwa na ule mrejesho wa hao watu kuhusu kazi wanazozisimamia na kuzitekeleza. Mimi siyo mtu wa Local News tu, huwa pia natembelea ulimwengu kwa njia ya media zinazopatikana kwenye vingamuzi ninavyomiiliki. Nini habari za Kenya wewe, watu wanashabikia za Marekani leo hii ukiuliza kuhusu Trump na Mrs Clinton wanawajua kuna ubaya gani kujua habari za nchi nyingine ikiwa dunia sasa ni kijiji? Nchi yangu naipenda, naijua kuliko unavyodhani, nitafia hapa ila kama kuna mazuri yanafanywa kwingine ningependa tuyaige ili tuzidi kuendelea.
 
ahsante kwa kuwa mkweli katika hili.....

hakuna kitu kizuri kama kuijua vyema nyumba ya kwenu kabla ya kuanza kulinganisha na nyumba nyinginezo kwa uzuri....

ukiongelea miradi ya miundombinu aliyoifanya Kikwete nchini utaogopa lakini kwa kuwa haina publicity itakuwa ni unknown kwako.

HATA KAMA HUFUATILII HABARI ZA NCHINI PAKO LAKINI JARIBU KUTEMBELEA MAENEO MBALIMBALI NCHINI ILI UJUE HATUA ZA KIMAENDELEO ZILIZOPO....

sintoongea zaidi kwa kuwa tupo nje ya mada husika
 
Back
Top Bottom