mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ngumi moja chaliiiMchizi wangu mandonga kaniangusha sana.View attachment 2309548
Mkuu Safi nimekubali uchambuzi wako. sina vingi huku kwenye masumbwi uwanja wangu Futiboli kule ila Safi umeeleza vizuri nimekuelewa.Ni kweli lakini kwa technique bado mana kapigwa kwa technique pambano la jana kalazimishwa kucheza mchezo ambao si wake. Kumbuka kuwa wote ni puncher fighters ila kidunda aliamua kutumia urefu kwa kuwa outfigher kwa kumpiga snap jab nyingi with counter combination zilizomfanya katompa kutomfikia kidunda kw wepesi. Hili pambano halina tofauti na lile la andy ruiz na anthony joshua. Ogopa sana uwe puncher kisha ukutane na mpinzani ambae ni puncher pia lakini amekuzidi speed na nguvu, speed uzaa counter punching you'll schooled how to snitch the fight taka usitake kama anthony joshua tangu akutane na yule andy ruiz ameswitch sana amekuwa si yule wa zamani tena wakati andy ruiz amezidi kuongeza kasi zaidi tazama fight yake ya mwisho na chris arreolla.
Katompa alilalamika kuhujumiwa hotelini.Kashinda kimahesabu ,kaongoza kwa points hadi round ya 7,baada ya hapo ndo akaanza kuruka ruka ile asipigwe kwa knoutout maana kwenye round 10 alishampita mpinzani kwa round 7
Mchizi wangu mandonga kaniangusha sana.View attachment 2309548
Zote nimeangalia ubebwaji ni mwingi kwa kichaka cha utanzaniaUliangalia round toka ya kwanza mpaka ya 5?
Ndicho alichokuwa anakifanya ndugu yakoNgumi co netball bwashee
Yes yes no body knows everything but anybody can learn something, hata mimi football siyo sana kama masumbwi nadhani ni mapenzi niliyo nayo tangu nipo standard 5 nilijifunza kwa mapenzi sana nadhani isingekuwa juhudi za mzazi wangu na kwenda shule ningekuwa bondia mana hata shule nilosoma kulikuwa na mabondia wengi na wengine ni wakubwa tu kwa sasa though sijaacha mazoezi mpaka sasa tena hata marafiki nilonao ni wengi hawa hawa mabondia ts passion to me.Mkuu Safi nimekubali uchambuzi wako. sina vingi huku kwenye masumbwi uwanja wangu Futiboli kule ila Safi umeeleza vizuri nimekuelewa.
mchizi wetu alituhaibisha kwa kweli,ila refarii naye mzushi asingesimamisha pambano
Hauja angalia ngumi wa pimbiZote nimeangalia ubebwaji ni mwingi kwa kichaka cha utanzania