mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
ule wimbo Jana ulipigwa kwa vyombo na sio sauti ni ngumu kujua Kama umeisha au la
Na baada ya kumaliza ubeti wa kwanza ni Kama kuna kimya kikatokea alafu ndo wimbo ukaendelea.
Na vile alikuwa na presha.
Sidhani Kama ni ISHU KUBWA.
Kikubwa katompa kachezea ngumi za kutosha.kutoka round ya 1 mpaka ya 5
Na baada ya kumaliza ubeti wa kwanza ni Kama kuna kimya kikatokea alafu ndo wimbo ukaendelea.
Na vile alikuwa na presha.
Sidhani Kama ni ISHU KUBWA.
Kikubwa katompa kachezea ngumi za kutosha.kutoka round ya 1 mpaka ya 5