lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Ungemtumia sms
Ungemtumia sms
Acha wivu we mwanamke, unataka tu kuskia habari za Wema na Zari na Sinta. Unafiki,majungu na umbea vitakuua.
Mkuu mtoa mada tunaomba utuwekee huyo wimbo ili na wengine tuweze kutoa maoni yetu.
Niliemuambia hajakereka harusi si yako waivalia suti kha!!unafiki,majungu,umbea vitakuua we mwanaume
Niliemuambia hajakereka harusi si yako waivalia suti kha!!unafiki,majungu,umbea vitakuua we mwanaume
Lakini wewe c ni mmbea!!!
Au kugegedwa agegedwe mwingine kukatika akatike yeye
Shangaaaaa au utamu asikie yeye hehee
We mwanamke usinizoee, utahama JF.
We mwanamke usinizoee, utahama JF.
Mkuu don't take everything serious in jf
Bora ,,,,,,
Ungemtumia sms
Lakini c ni wewe unapenda penda sana kuzoea wanaume wa huku JF!!!
taratibu laazizi wala wasikuchoche hawaNishakuzoea lini ??au mbona we ndio unaanza mazoea hapa unaniqoute au we hujion unaona wenzio tu,kwa hiyo nikiwazoea nakuzibia riziki au,sema