lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
binafsi napenda kumpongeza huyu kamanda kwa kurudi vyema kwenye gemu na ngoma ya shukrani ila kubwa zaidi nampongeza kuweza kumaintain sauti yake ya kurap tangu miaka ile mpaka leo ipo vilevile. jamaa ni jembe hatari