lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
napenda kumpongeza msanii jembe hapa bongo KING KIBA kwa kudumu kwa muda mrefu zaidi na kuendelea kuwakimbiza kina mond na wengineo. Kwa kweli jamaa anatisha sana sauti ipo palepale na anapendwa mpaka na watoto,hana mambo ya kujishaua kama yule mwenzake,wakuu naomba kila moja aje hapa atoe neno la pongezi kwa KING KIBA,