Hongera Kitengo cha Propaganda cha Yanga

Hongera Kitengo cha Propaganda cha Yanga

Walivaa ki mkakati, kama ulimsikiliza vizuri Feisal "wanasema nimevaa suti ya Mwakalebela, lakini freshi tu"
 
Kitengo kimekaa kitaalam sana. Fei ndo habari ya mujini mida hii.
 
Hamna propaganda hapo machezaji yenu ni mashamba mashamba tu maana hata siku yenu ya mwananchi kuna limoja lilifungia suruali kamba ya kiatu na lilikuwa limevaa suti, afu sikia mkuu tuzo zile zisingeweza kuwa habari ya mjini kwa sababu wachezaji wa simba wamezizoea hakuna jipya yani.
 
Genge La Wahuni Wachache
Bora Vile Maana Huenda Wangekuja Uch* Kabisa
 
Eti nasikia mchezaji bora ni John Bocco! 🤔 Nchi ina maajabu hii!!! Bora hata nilivyo amua kulala mapema.
 
Back
Top Bottom