Hongera kwa Lissu ila CHADEMA haihitaji Mwenyekiti Mpya, inahitaji mikakati mipya itakayovuka mipaka ya Siasa

Hongera kwa Lissu ila CHADEMA haihitaji Mwenyekiti Mpya, inahitaji mikakati mipya itakayovuka mipaka ya Siasa

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Niwe muwazi, Tangu viongozi mbalimbali CHADEMA walivyoanza kukiri kwamba bila katiba mpya hawawezi kuchukua uongozi wa nchi kusema kweli imani yangu na mapenzi yangu kwa chama hichi imeporomoka sana maana nilikua najiuliza kichwani .... "Miaka yote hii wana "front" mgombea urais walikuwa wanatuigizia wanachi au ?"

Ndani ya miaka hii miwili mitatu nikajiweka mbali kabisa na ufuatiliaji wa siasa za nchi hii, sio tu kwasababu nilikua disappointed bali pia ilinibidi nipanue mitazamo yangu kwa kufocus kidogo katika mifumo ya siasa za kimataifa na kusema kweli imeisaidia sana kuelewa kinachoendelea nchini hapa kwenye nyanja ya siasa zetu na maeneo mengine pia, yafuatayo ndio niliyojifunza kwa ufupi:

1. Kwa asilimia kubwa upinzani sio mbadala wa chama tawala bali ni backup inayoguarantee muendelezo wa tamaduni za kiuongozi zilizopo, chama tawala kikipoteza influence basi system ile ile iliyopo hutumia upinzani kama jahazi la kujiokoa (umewahi kujiuliza katika nchi zote za Afrika ambazo upinzani umefanikiwa kuangusha vyama tawala kongwe nini tofauti kimefanyika kama sio kuendeleza sera zile zile kwa asilimia kubwa )


2. Nchi nyingi dhana ya Uhuru (sovereignty/autonomy/independence) ni geresha maana ukoloni umebadilika kutoka mabavu kwenda kwenye diplomasia ya misaada ya vipengele vya kiuchumi; hivyo watanzania wenzangu kaeni mkijua kwamba tutatifuana ndanindani CHADEMA, ACT, CCM na ukurutu mwingine lakini atakayetokea mshindi kwenye kinyang'anyiro hicho atakaa kwenye "mifumo" ile ile "inayokubalika" kimataifa; mabenki yataendelea kuchochea mfumuko wa gharama kwa maelekezo kutoka world bank, tutaendelea na geresha za kisiasa kama kawaida (wapinzani watabadilika kuwa watesi na wezi) na kadhalika na kadhalika

Funzo kwa CHADEMA na wanachama wake
Ili chama kiwe "exceptional" inabidi kifanye kazi na kujipambanua kwenye macho ya watanzania kwa njia tofauti. Kura zisitafutwe kwa propaganda za kuikosoa CCM kwa mambo ambayo hata CHADEMA yenyewe ikiingia itayafanya (rekodi za vyama pinzani vilivyochukua nchi barani hapa tunazo), bali kura zitafutwe kwa kujenga mahusiano mapya katika nyanja mbalimbali na wananchi ambao ndio wapiga kura wenyewe; imani kwamba kinaweza kuongoza inabidi ianze kujengwa kabla hata madaraka yenyewe hajakabidhiwa

Vijana wana changamoto ya ajira
Barabara ni mbovu na haitengenezwi na gari zetu zinaharibika
...na kadhalika na kadhalika


Kwa scenario kama hizo hapo juu chama kiwe na mikakati madhubuti inayotekelezeka ambayo inaweza kufanywa na jamii yenyewe bila mkono kutoka serikalini (Wachagga wanarekebisha barabara za vijijini kwao wakahesabiwe vizuri)

Badala ya kuendekeza kizazi cha betting imagine chama kikaja na hata vikoba vya kilimo kwa wakazi wa mijini, kutoa support kwa vijana wenye ujuzi wa kuandaa maombi ya pesa za miradi ya kimataifa na nyanja nyingine mbalimbali

Ndugu zangu, uhusiano wa wananchi na upinzani kwa sasa hauna tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga, inabidi chama kioneshe umuhimu kwenye maisha ya watanzania kabla hata hakijakabidhiwa mikoba ya uongozi
 
Kashinda kwa kura ngapi? Mbowe kapata ngapi? Mbona matokeo yanatangazwa kihuni?
 
My friends, ladies and gentlemen.

Kama kiongozi wa wananchi na mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa na demokrasia nchini nachukua fursa hii kuwapongeza Chadema katika ujumla wake, kwa namna ambavyo wametekeleza wajibu wao wa haki, kwa tendo la kidemokrasia kwa amani ya kiwango cha juu sana, ustahilivu na subra ya kipekee sana, hususani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Licha ya tangu mwanzo, zoezi zima kukumbwa na dosari na kasoro za rushwa na malalamiko ya tuhuma za udanganyifu na upendeleo, kwenye zoezi la uhakiki, uteuzi na hata uchaguzi wenyewe, lakini bado hatimae management ya Chadema chini ya chairman Mbowe iliweza kuvuka salama hatua hizo ngumu za kidemokrasia.

Hata hivyo, bado iko kazi kubwa ya kufanya kama chama cha siasa. Dosari na kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, ziwe fursa na nafasi ya kujirekebisha, kujisahihisha na kujipanga vizuri zaidi na kufanya vyema zaidi kwenye chaguzi zijazo.

Mimi pamoja na familia, chama changu na wananchi wote jimboni kwangu, kwa upendo mkubwa, nawatakia uwajibikaji mwema, wale wote waliopewa nafasi na dhamana za uongozi wa chama uwajibikaji mwema wa pamoja. Muende mkafanye kazi kwa umoja, upendo na heshima ili hatimae demokrasia ndani ya Chadema istawi vizuri na Taifa letu liendelee kua moja na la amani zaidi.

Mbowe na Lissu ntawapigia baadae tuzungumze.

Mungu ibariki Tanzania
 
My friends, ladies and gentlemen.

Kama kiongozi wa wananchi na mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa na demokrasia nchini,

Nachukua fursa hii kuwapongeza Chadema katika ujumla wake, kwa namna ambavyo wametekeleza wajibu wao wa haki, kwa tendo la kidemokrasia kwa amani ya kiwango cha juu sana, ustahilivu na subra ya kipekee sana, hususani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Licha ya tangu mwanzo, zoezi zima kukumbwa na dosari na kasoro za rushwa na malalamiko ya tuhuma za udanganyifu na upendeleo, kwenye zoezi la uhakiki, uteuzi na hata uchaguzi wenyewe, lakini bado hatimae management ya Chadema chini ya chairman Mbowe iliweza kuvuka salama hatua hizo ngumu za kidemokrasia.

Hata hivyo,
bado iko kazi kubwa ya kufanya kama chama cha siasa. Dosari na kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, ziwe fursa na nafasi ya kujirekebisha, kujisahihisha na kujipanga vizuri zaidi na kufanya vyema zaidi kwenye chaguzi zijazo.

Mimi pamoja na familia, chama changu na wananchi wote jimboni kwangu, kwa upendo mkubwa, nawatakia uwajibikaji mwema, wale wote waliopewa nafasi na dhamana za uongozi wa chama uwajibikaji mwema wa pamoja. Muende mkafanye kazi kwa umoja, upendo na heshima ili hatimae demokrasia ndani ya Chadema istawi vizuri na Taifa letu liendelee kua moja na la amani zaidi.🐒

Mbowe na Lisu ntawapigia baadae tuzungumze.

Mungu Ibariki Tanzania
Comrade nilikuambia juzi Wajumbe sio watu wazuri na sasa imedhihirika maana walichomfanya mdogo wako Makonda ndio walichomfanya Freeman Aikael Mbowe 🤣🤣🤣
 
Comrade nilikuambia juzi Wajumbe sio watu wazuri na sasa imedhihirika maana walichomfanya mdogo wako Makonda ndio walichomfanya Freeman Aikael Mbowe 🤣🤣🤣
zingatia hoja iliyotolewa mezani gentleman mengine tutayatafutia muda na nafasi mahususi 🐒
 
My friends, ladies and gentlemen.

Kama kiongozi wa wananchi na mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa na demokrasia nchini nachukua fursa hii kuwapongeza Chadema katika ujumla wake, kwa namna ambavyo wametekeleza wajibu wao wa haki, kwa tendo la kidemokrasia kwa amani ya kiwango cha juu sana, ustahilivu na subra ya kipekee sana, hususani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Licha ya tangu mwanzo, zoezi zima kukumbwa na dosari na kasoro za rushwa na malalamiko ya tuhuma za udanganyifu na upendeleo, kwenye zoezi la uhakiki, uteuzi na hata uchaguzi wenyewe, lakini bado hatimae management ya Chadema chini ya chairman Mbowe iliweza kuvuka salama hatua hizo ngumu za kidemokrasia.

Hata hivyo, bado iko kazi kubwa ya kufanya kama chama cha siasa. Dosari na kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, ziwe fursa na nafasi ya kujirekebisha, kujisahihisha na kujipanga vizuri zaidi na kufanya vyema zaidi kwenye chaguzi zijazo.

Mimi pamoja na familia, chama changu na wananchi wote jimboni kwangu, kwa upendo mkubwa, nawatakia uwajibikaji mwema, wale wote waliopewa nafasi na dhamana za uongozi wa chama uwajibikaji mwema wa pamoja. Muende mkafanye kazi kwa umoja, upendo na heshima ili hatimae demokrasia ndani ya Chadema istawi vizuri na Taifa letu liendelee kua moja na la amani zaidi.

Mbowe na Lissu ntawapigia baadae tuzungumze.

Mungu ibariki Tanzania
KABISA ZIMELIWA SANA PESA ZA ABDUL NA MAMA YAKE. UMEONA EEEEEH .....🤣🤣🤣🤣🤣
 
My friends, ladies and gentlemen.

Kama kiongozi wa wananchi na mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa na demokrasia nchini nachukua fursa hii kuwapongeza Chadema katika ujumla wake, kwa namna ambavyo wametekeleza wajibu wao wa haki, kwa tendo la kidemokrasia kwa amani ya kiwango cha juu sana, ustahilivu na subra ya kipekee sana, hususani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Licha ya tangu mwanzo, zoezi zima kukumbwa na dosari na kasoro za rushwa na malalamiko ya tuhuma za udanganyifu na upendeleo, kwenye zoezi la uhakiki, uteuzi na hata uchaguzi wenyewe, lakini bado hatimae management ya Chadema chini ya chairman Mbowe iliweza kuvuka salama hatua hizo ngumu za kidemokrasia.

Hata hivyo, bado iko kazi kubwa ya kufanya kama chama cha siasa. Dosari na kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, ziwe fursa na nafasi ya kujirekebisha, kujisahihisha na kujipanga vizuri zaidi na kufanya vyema zaidi kwenye chaguzi zijazo.

Mimi pamoja na familia, chama changu na wananchi wote jimboni kwangu, kwa upendo mkubwa, nawatakia uwajibikaji mwema, wale wote waliopewa nafasi na dhamana za uongozi wa chama uwajibikaji mwema wa pamoja. Muende mkafanye kazi kwa umoja, upendo na heshima ili hatimae demokrasia ndani ya Chadema istawi vizuri na Taifa letu liendelee kua moja na la amani zaidi.

Mbowe na Lissu ntawapigia baadae tuzungumze.

Mungu ibariki Tanzania
Gentleman beru beru ameshinda unasemaje mchambuzi wa siasa
 
Niwe muwazi, Tangu viongozi mbalimbali CHADEMA walivyoanza kukiri kwamba bila katiba mpya hawawezi kuchukua uongozi wa nchi kusema kweli imani yangu na mapenzi yangu kwa chama hichi imeporomoka sana maana nilikua najiuliza kichwani .... "Miaka yote hii wana "front" mgombea urais walikuwa wanatuigizia wanachi au ?"
Ndani ya miaka hii miwili mitatu nikajiweka mbali kabisa na ufuatiliaji wa siasa za nchi hii, sio tu kwasababu nilikua disappointed bali pia ilinibidi nipanue mitazamo yangu kwa kufocus kidogo katika mifumo ya siasa za kimataifa na kusema kweli imeisaidia sana kuelewa kinachoendelea nchini hapa kwenye nyanja ya siasa zetu na maeneo mengine pia, yafuatayo ndio niliyojifunza kwa ufupi:

1. Kwa asilimia kubwa upinzani sio mbadala wa chama tawala bali ni backup inayoguarantee muendelezo wa tamaduni za kiuongozi zilizopo, chama tawala kikipoteza influence basi system ile ile iliyopo hutumia upinzani kama jahazi la kujiokoa (umewahi kujiuliza katika nchi zote za Afrika ambazo upinzani umefanikiwa kuangusha vyama tawala kongwe nini tofauti kimefanyika kama sio kuendeleza sera zile zile kwa asilimia kubwa )


2. Nchi nyingi dhana ya Uhuru (sovereignty/autonomy/independence) ni geresha maana ukoloni umebadilika kutoka mabavu kwenda kwenye diplomasia ya misaada ya vipengele vya kiuchumi; hivyo watanzania wenzangu kaeni mkijua kwamba tutatifuana ndanindani CHADEMA, ACT, CCM na ukurutu mwingine lakini atakayetokea mshindi kwenye kinyang'anyiro hicho atakaa kwenye "mifumo" ile ile "inayokubalika" kimataifa; mabenki yataendelea kuchochea mfumuko wa gharama kwa maelekezo kutoka world bank, tutaendelea na geresha za kisiasa kama kawaida (wapinzani watabadilika kuwa watesi na wezi) na kadhalika na kadhalika

Funzo kwa CHADEMA na wanachama wake
Ili chama kiwe "exceptional" inabidi kifanye kazi na kujipambanua kwenye macho ya watanzania kwa njia tofauti
Kura zisitafutwe kwa propaganda za kuikosoa CCM kwa mambo ambayo hata CHADEMA yenyewe ikiingia itayafanya (rekodi za vyama pinzani vilivyochukua nchi barani hapa tunazo), bali kura zitafutwe kwa kujenga mahusiano mapya katika nyanja mbalimbali na wananchi ambao ndio wapiga kura wenyewe; imani kwamba kinaweza kuongoza inabidi ianze kujengwa kabla hata madaraka yenyewe hajakabidhiwa

Vijana wana changamoto ya ajira
Barabara ni mbovu na haitengenezwi na gari zetu zinaharibika
...na kadhalika na kadhalika

Kwa scenario kama hizo hapo juu chama kiwe na mikakati madhubuti inayotekelezeka ambayo inaweza kufanywa na jamii yenyewe bila mkono kutoka serikalini (Wachagga wanarekebisha barabara za vijijini kwao wakahesabiwe vizuri)
Badala ya kuendekeza kizazi cha betting imagine chama kikaja na hata vikoba vya kilimo kwa wakazi wa mijini, kutoa support kwa vijana wenye ujuzi wa kuandaa maombi ya pesa za miradi ya kimataifa na nyanja nyingine mbalimbali
Ndugu zangu, uhusiano wa wananchi na upinzani kwa sasa hauna tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga, inabidi chama kioneshe umuhimu kwenye maisha ya watanzania kabla hata hakijakabidhiwa mikoba ya uongozi
20241218_051429.jpg
 
Back
Top Bottom