astrologist
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 221
- 268
Big up kwa timu tajwa hapo juu kwa kufuzu kuingia robo finali, kwani timu hizi zimewatoa vigogo wakiwa hawaamini kama walikuwa na vigogo wenzao, mfano UTD hawakupewa nafasi ya kuitoa PSG, Liverpool waliibeza dhidi ya Munich, lakini Munich kafia kwake jana. Pia Spur alimtoa Borussia Dortmund.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app