Haya usisahau kuja na triple sec, light rum, gin, vodka, tequila, sour mix, cola na lemon wedge for garnish
Haya usisahau kuja na triple sec, light rum, gin, vodka, tequila, sour mix, cola na lemon wedge for garnish
hahahahahahahah lol i can c u know how to make ur long island ice t....lol
mmmhhhh kwa kweli usijali hayo yameshatimizwa lol
naona ile thread nyingine imeondolewa .. ile ukiwa mwanaume kwa 24hrs ...lol
heheh kamanda hii kitu kumbe inaweza kutumwa kwa DHL? acha niwasiliane na mrembo flani anga za brazil anitumie kwa DHL.afrodenzi vipi aisee?!
mbona jamaa wa DHL hawaniletei ile kitu?
Ooops nilisahau na ice cubes lakini crushed ones, sioni dalili za mtu kuamka asubuhi mapema glasi mbili balaa
naona ile thread nyingine imeondolewa .. ile ukiwa mwanaume kwa 24hrs ...lol
Ooops nilisahau na ice cubes lakini crushed ones, sioni dalili za mtu kuamka asubuhi mapema glasi mbili balaa
Itakuwa imepelekwa jukwaa lile la kulee
Mmebaki ambao sio wababa peke yenu.....
heheh kamanda hii kitu kumbe inaweza kutumwa kwa DHL? acha niwasiliane na mrembo flani anga za brazil anitumie kwa DHL.
mmmhhh bwana wanatubania sana..
nway kwenye ile thread nilikuuliza mama mwenye nyumba yuko wapi??
au kashafunga harusi na BE?
halafu sisi ndo tumeachwa gizani...
TF ni baba na mimi niko hapa kimu support
lakini hatuna commitment yeyote bado hahahah lol
Mmebaki ambao sio wababa peke yenu.....
mambo vp afro mwana wa denzi?weeee haya bwana...
Mama mwenye nyuma mbona yuko huku hakukuaaga nini?? Amekuja jumamosi
We are getting.......................Closer...closer!.
Mama mwenye nyuma mbona yuko huku hakukuaaga nini?? Amekuja jumamosi
hehehe wanatumia betri za duracell hao mazeruzeru, hawachoki. wameomba likizo januari wanataka kwenda kupiga kura nchini kwao shekoslovakia.