The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
haya bwana mi ndo naenda kulala hivyo tuta chat zaidi kesho...
asante and enjoy the rest of your day..
take care ..
naona ile thread nyingine imeondolewa .. ile ukiwa mwanaume kwa 24hrs ...lol
We are getting.......................Closer...closer!.
Dah!!! Mimi sio mume wa mtu sasa sijui lini nitakuwa mume wa mtu lakini chauro all in all thanks for this useful post
nawashukuru kwa niaba pamoja na maumivu mliyopata bado michango yenu tunaithamini sana kwakweli mbarikiwe
wanaume hawana ishu kazi kwao ni ku beep, kubum pesa na kuosha face tu mijini ,..... poleni wa kiume kwa kupakwa mafuta na chupa...
I always wonder if men can be praised and be thanked by their women cause I have never experienced the same since I tied up the knot with the one I have . Before I got into the life time prisons I used to get a lot of them even in the midnight.
But since you come out live to thank all of us for what we have done to u people , let me be part of recipient with one word;
We love women but they do not know that. We shed our bloods and die almost from nothing but stress ,fear of bankruptcy and their infidelity mostly silently but yet they ca,nt see it . Sasa ni mapenzi gani zaidi ya kumpenda mtu hadi kufa kwa ajili yake ? Kwa kweli mnastahili kutupongeza kwa kumaliza hata kamwaka kamoja tena .Chauro ahsante mwaya, Aika mae/ keku , ashe na le, thank you, merci beacoup .
Chauro,
Watu wasione kama ni wewe umekosea, bali ni keyboard yako kwa bahati mbaya haina nukta, wala mkato, na ndiyo iliyosababisha hali hiyo kwenye bandiko lako.
Mdogo wangu Chauro, tunapokea hongera zako kwa MTIMA mnyoofu kabisa...ni mara chache sana watu huthubutu kukumbuka kushukuru, na wewe ni mmoja wao kwa leo.
Nasi tunarudisha shukrani kwako, uwe na amani tele!
Hivi uliacha ule mpango wa kunioa??
mh na wewe umetokea wapi tena unataka kusema wanaume kazi yao ni hiyo tu embu kwenye hongera mpe mwenzako na yeye ajisikie kuna jambo anafanya bwana hujui inampa nguvu mpya lol
Dah!!! Mimi sio mume wa mtu sasa sijui lini nitakuwa mume wa mtu lakini chauro all in all thanks for this useful post
Nawaombea kwa Mwenyenzi Mungu awape nguvu na mafanikio katika yale yote mnayofanya kwa ujenzi wa familia tuanze mwaka wa mafanikio tele kila la heri
Nguvu mpya ya unyanyasaji au ...... we viphh we unajifanya hujui jinsi wanawake wanavyonyanyasika huko majumbani na hadi kufikia hatua ya kukata tamaa ya maisha kabisa au unajifanya hujui watoto wanavyotelekezwa na wa mama huko vijijiniwakati wa baba wakiongoza kwa starehe mijini, leo kwa sound ya mitetemo unasema we should thanks wa baba,
badilika na kama we ni wa kike unatakiwa utambie haki zak za kuishi.