BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Messi ma-hatric ๐๐
mbona timu ya taifa haipi mafanikio kama afanyavyo akiwa barca? Messi nje ya Barcelona ni mwepesi sanaHoja dhaifu sana kuwahi kutokea๐
Umejuaje akihama hatong'ara? Kama akina pogba,hazard,mbape,mohamed salah,kane na Aguero wameweza, Messi ashindwe nini! Wakati hao hao alikutananao na akawafunga,huko ujerumani, ufaransa na italia pia hivyo hivyo kawakung'uta....
Sasa unataka ahame aende tim ipi? Kama mahitaji Barca inamtimizia yote ayatakayo, sasa unataka aende wapi?
Sometimes muwe mnafikiria cha kukomenti mkuu...
mbona samatta hafungi team ya taifa kama huko ubelgij ?mbona timu ya taifa haipi mafanikio kama afanyavyo akiwa barca? Messi nje ya Barcelona ni mwepesi sana
mbona samatta hafungi team ya taifa kama huko ubelgij ?
Kelele nyingi mno hawa viumbe, wasubiri next week tuwashikishe adabu
Ajage EPL wamtimbe ndo ataelewa huyo.
mbona timu ya taifa haipi mafanikio kama afanyavyo akiwa barca? Messi nje ya Barcelona ni mwepesi sana
Thaman ya King Messi ni kubwa mno ndo mana kabakia kwenye timu inayomudu hiลพo gharama. Kลซzurรปra kila timu kรฌla leaguรจ huo ni u cheapAjage EPL wamtimbe ndo ataelewa huyo.
Hoja ya kike kweli hiihayo maajabu ayahamishie timu ya taifa. mchezaji mwoga kuhama timu huku akiogopa rangi yake kuonekana. wanaume wamecheza ligi tofauti tofauti na bado wanang'ara
Ulishasema team, afu unamlaumu messi. Au unafikiri mpira wa miguu sawa na riadha na tenisi kwamba anacheza pekeake?mbona timu ya taifa haipi mafanikio kama afanyavyo akiwa barca? Messi nje ya Barcelona ni mwepesi sana
Ni sawa na kumsukuma mlevi kwa kidole tu, hana lolote zaidi ya kuzeekea klabu 1 tumbona timu ya taifa haipi mafanikio kama afanyavyo akiwa barca? Messi nje ya Barcelona ni mwepesi sana