Hongera Lukuvi, kazi yako tumeiona

Hakika mkuu ata mimi ili swala limenifikirisha sana ajabu waliochwa wapo wa5 lakin aliumiza watu ni mmoja tu Lukuvi
 
Hongera waziri Lukuvi ardhi uliituliza,Kazi yako watanzania tumeiona , kama hutajali 2025 uje kutuomba kura ya uraisi tukupe kwa roho nyeupe.
Mbona unatusemea sema umeiona kwa sababu unazozijuwa mwenyewe
 
Tatizo ukimuangalia kwa jicho la undani utagundua kuna ka chembe ka udini sana kwa upande wake nadhani ni moja ya sababu za kupanguliwa kwake na anahusisgwa na ile Sukuma Gang
Mimi nilidhani sukuma gang ni ya wasukuma, kumbe hata waIringa/Njombe wanaruhusiwa kujiunga?
Kama wasio wasukuma wanaweza kujiunga, kwa nini isiitwe jina jingine badala ya jina la kabila moja?
 
Mimi nilidhani sukuma gang ni ya wasukuma, kumbe hata waIringa/Njombe wanaruhusiwa kujiunga?
Kama wasio wasukuma wanaweza kujiunga, kwa nini isiitwe jina jingine badala ya jina la kabila moja?

SUKUMA GANG ni mkusanyiko wa wale Wote waliokuwa WANAUNGA MKONO JUHUDI irrespective ya wapi wanakotoka Ndio maana wakina Polepole wanajumuishwa humo!!!
 
SUKUMA GANG ni mkusanyiko wa wale Wote waliokuwa WANAUNGA MKONO JUHUDI irrespective ya wapi wanakotoka Ndio maana wakina Polepole wanajumuishwa humo!!!
Kwa nini wakaitwa sukuma wakati kuna watu toka sehemu mbalimbali?
 
laana ya WaZanzibari inamuandama huyo,huyu si ndie yule aliesimama kwenye madhabahu na kusema Zanzibar idhibitiwe eti magaidi ndio wanakopitia huko,yaani alikunya sana pale kanisani mpaka wengine wakaguna,wakisema huyu waziri vipi ?
 
Dingi alijitahidi sn sema maza udini unamtafuna sn
Je chuki ya wazi, udini na ubaguzi wa huyo Lukuvi anaetetewa unausemeaje Mkuu? Kumbuka clip yake dhidi ya Zanzibar na Waislamu kisha rejea majibu yake kwa yule bwana wa Mwanza.
 
Lukuvi ni mtu wa Mungu , mawaziri wote wameonewa

Anayeutaka urais ni waziri wa umeme ila ameachwa
Mara amerithi baraza, mara asingewatoa mawaziri. Hata mnalolitaka halieleweki. Ndiyo ni muhimu kutaka urais pale yule uliye naye chama kimoja akimaliza muda wake. Sasa ukitaka urais wakati bosi wake anaendelea, ni lazima utamkwamisha kufikia malengo ya kuwatumikia wananchii
 
Wananchi wa pato la chini wengi hawapo humu mitandaoni. JPM alivyowatendea haki watu wa pato la chini mbona humu kila kukicha anatukanwa?
 
Nitajie mambo 5 tu aliyofanya Lukuvi yanayostahili sifa kwake?
 
Lukuvi alifanya kazi yake kwa ufanisi sana..ni Moja ya mawaziri walioutendea haki uwaziri,hususan katka sekta ya ardhi ambayo imetawaliwa na maagumashi ya kutosha..
 
Lukuvi personally chini vya uongozi wake tuliamini haki katika ardhi IPO.

Nasikitika hayupo. Namuombea heri. Binafsi nimenufaika Sana na mifumo iliyoleta tija ardhi.
Ardhi unaenda huna hata senti5 na unahudumiwa. Na wahusika unawakuta ofisini.

Ardhi migogoro yake ilihitaji akili kubwa huyu Lukuvi alihakikisha na wasaidizi na watendaji wake wanatoa huduma. Watu wa ardhi walipanga na kupanguliwa na kuhamishwa hamishwa yaani Ile mifumo mibovu akaivunja.
 
alafu fisadi rizimoko anakabidhiwa unaibu waziri wizara ya Ardhi, bila kupindisha maneno apo samia suluhu kafeli vibayaaa
 
Ni kweli Mheshimiwa Lukuvi,amejitahidi kuchapa kazi wizara ya Ardhi.
-Lakini Kwa kipindi chote ambacho Lukuvi amekaa wizara ya Ardhi,ameshindwa kuajiri maafisa ardhi na wapimaji wa ardhi wa kutosha,ili kukomesha ujenzi holela ,
-wizara imetoa vibali kwa taasisi binafsi (ambazo nyingi ni kampuni za makamishina au wakuu wa idara za ardhi) kupima ardhi kwa gharama kubwa.
-Kampuni nyingi za urasimishaji makazi ni za wakubwa hao.

Ushauri kwa Waziri Mabula na Riziwani
- Ni kuhakikisha kuwa wizara ya Ardhi inaajiri maafisa wa ardhi na wapimaji wa ardhi na mipango miji wa kutosha kwenye halmashauri za wilaya zote.
-wizara inapima viwanja vya kutosha,ili watu wajenge kwenye viwanja vilivyopimwa.
-wizara inaweka mfumo mzuri wa kugawa viwanja na kutoa hati miliki bila mikingamo, ili kuondoa migogoro ya ardhi nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…