Atusifu ujinga ila kama bado unakaa kwenu uwez elewa nini alifanya lukuviAkikujibu nitagg
Hakuna chochote cha maana alichofanya lukuvi ardhi zaidi ya kucheza na media tu
Nchi kila siku inazidi kuwa chafu Kwa kuenea makazi na ujenzi holela alafu wanakuja kusifu ujinga hapa
Kama ni hivyo hii Sukuma Gang' Ina zaidi ya robo tatu ya Watanzania kwa hiyo siyo gang Tena...ni mass ....SUKUMA GANG ni mkusanyiko wa wale Wote waliokuwa WANAUNGA MKONO JUHUDI irrespective ya wapi wanakotoka Ndio maana wakina Polepole wanajumuishwa humo!!!
Hivi lukuvi ndo ana ajirii??Ni kweli Mheshimiwa Lukuvi,amejitahidi kuchapa kazi wizara ya Ardhi.
-Lakini Kwa kipindi chote ambacho Lukuvi amekaa wizara ya Ardhi,ameshindwa kuajiri maafisa ardhi na wapimaji wa ardhi wa kutosha,ili kukomesha ujenzi holela ,
-wizara imetoa vibali kwa taasisi binafsi (ambazo nyingi ni kampuni za makamishina au wakuu wa idara za ardhi) kupima ardhi kwa gharama kubwa.
-Kampuni nyingi za urasimishaji makazi ni za wakubwa hao.
Ushauri kwa Waziri Mabula na Riziwani
- Ni kuhakikisha kuwa wizara ya Ardhi inaajiri maafisa wa ardhi na wapimaji wa ardhi na mipango miji wa kutosha kwenye halmashauri za wilaya zote.
-wizara inapima viwanja vya kutosha,ili watu wajenge kwenye viwanja vilivyopimwa.
-wizara inaweka mfumo mzuri wa kugawa viwanja na kutoa hati miliki bila mikingamo, ili kuondoa migogoro ya ardhi nchini.
Ataomba kwa dirisha gani???kama hutajali 2025 uje kutuomba kura ya uraisi tukupe kwa roho nyeupe
Nyie ndio wadini,kwani aliyemteua kushika nafasi yake ni muislamu?Mama mdini sana.
Nani mdin zaidi lukuvi au?Dingi alijitahidi sn sema maza udini unamtafuna sn
Balaza limejaa wakristo nani mdini sasaAliyetengua ndiyo amejaa udini sn
Mbona unadanganya?wakristo 5 wote
Kwani waislamu ni wangapi znz?Baraza la mapinduzi kuna mkristo hata mmoja?
SIO MCHEZO!Kama ni hivyo hii Sukuma Gang' Ina zaidi ya robo tatu ya Watanzania kwa hiyo siyo gang Tena...ni mass ....
Bila Shaka wewe ni muongo mzoefuLukuvi amessbabisha Tanzania kushitakiwa kwenye kesi za kimataifa nyingi kudhulumu wawekezaji bila malipo Mfano Sunlodge kilwa walikamata ndege Canada waliposhinda kesi mbona watazania hakuambiwa hiyo?? Tuanzishe uzi wa kesi za ardhi za kimataifa ili tujue ametutia hasara kiasi gani
Wewe umetumwa nae kasome Sunlodge kilwaBila Shaka wewe ni muongo mzoefu
Magu na marais wote wakristo ndio ilikuwa funga kazi kwa udiniMama mdini sana.