Hongera Lukuvi, kazi yako tumeiona

Akikujibu nitagg

Hakuna chochote cha maana alichofanya lukuvi ardhi zaidi ya kucheza na media tu

Nchi kila siku inazidi kuwa chafu Kwa kuenea makazi na ujenzi holela alafu wanakuja kusifu ujinga hapa
Atusifu ujinga ila kama bado unakaa kwenu uwez elewa nini alifanya lukuvi
 
SUKUMA GANG ni mkusanyiko wa wale Wote waliokuwa WANAUNGA MKONO JUHUDI irrespective ya wapi wanakotoka Ndio maana wakina Polepole wanajumuishwa humo!!!
Kama ni hivyo hii Sukuma Gang' Ina zaidi ya robo tatu ya Watanzania kwa hiyo siyo gang Tena...ni mass ....
 
Hivi lukuvi ndo ana ajirii??
 
Mweke adui karibu na wewe ili ujue kaamkaje, kashindaje, anafanya nini anakutana na nani na kila kitu. You need to tame your enemy right?
 
Hi nchi. Sijui tunataka nn hkn Aliye nanafuhu kbsa kila mtu anavitabia za ajabu ajabu sijuu tutawalliwe kinamna gani. Alfu mbaya Zaid hawa watu hawaheshimu katiba
 
Lukuvi amessbabisha Tanzania kushitakiwa kwenye kesi za kimataifa nyingi kudhulumu wawekezaji bila malipo Mfano Sunlodge kilwa walikamata ndege Canada waliposhinda kesi mbona watazania hakuambiwa hiyo?? Tuanzishe uzi wa kesi za ardhi za kimataifa ili tujue ametutia hasara kiasi gani
 
Bila Shaka wewe ni muongo mzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…