Hongera mama Afrika, kumekucha, tumethubutu, bara letu linafunguka

Halafu kaka wewe ni Mtanzania kwa Kiswahili chako
Mbona Umekua na TABIA MBAYA YA KUIPONDA NCHI YA WAZAZI WAKO??? na umekua Ukijifanya MKENYA!!
BADILIKA.
 
This free trade zone will be a major damping ground for western and Chinese goods.

They'll quickly sign unfair deals for countrymen while pocketing kickbacks!
 
Halafu kaka wewe ni Mtanzania kwa Kiswahili chako
Mbona Umekua na TABIA MBAYA YA KUIPONDA NCHI YA WAZAZI WAKO??? na umekua Ukijifanya MKENYA!!
BADILIKA.
Mimi Mkenya bwana, Kiswahili lugha yetu ya taifa na nakipenda, ila pia napenda lugha yangu ya asili na pia kingereza.
Chamsingi, lugha yoyote ukiipenda na kuichangamkia na kujiboresha, hatimaye utafanikiwa kuitumia ipasavyo.
Halafu mimi huwa siipondi Tanzania, humu tunahabarishana taarifa kama zilivyo bila kuremba.
Huwa mnaleta mabaya ya Kenya, yanatuuma ila ndio ukweli ambao hatuwezi kuubadilisha, hivyo Tanzania ikianikwa, wewe meza na kukubali kuhusika katika kutafuta suluhu.
 
Haya NTAMEZA!!!
 
Tanzania tu ndio ina wivu na Kenya lakini kwa bahati mbaya itakuwa vigumu nyie kutufikia kimaendeleo.
 
Tanzania tu ndio ina wivu na Kenya lakini kwa bahati mbaya itakuwa vigumu nyie kutufikia kimaendeleo.
Ninyi ni wabinafsi sana, mnagombana na majirani wenu wote kwa ubinafsi wenu, wakati wote mnataka ninyi mfaidike tu, hampo tayari kujitolea kwa ajili ya watu wengine.
1) Wakati wa vita vya ukombozi, mleungana na wazungu kwa maslahi ya kiuchumi
2) Sakata la EPA, mumeungana na wazungu kwa maslahi yenu
3) Sakata la kukataza mitumba, dakika za mwisho mlijitoa na kuungana na wazungu kwa maslahi yenu.
4) Somalia imewapeleka ICJ, ili kutafuta haki, mlipohusi mtashindwa, hamkwenda mahakamani ili kuvuruga mashtaka.
5) Migingo, mnataka kukichukua kiwe chenu.
6) Kile kipande cha ardhi mpakani na South Sudan, mnakitaka ili kuidhulumu South Sudan.
Ninyi ni wabinafsi sana na wasaliti wa Africa, hatutosahau wala SADC haitowasamehe kwa kutusaliti katika kipindi kigumu cha vita vya ukombozi.
 
.....yet, mwenyekiti wa chama chetu anaona Zimbabwe, Namibia, Rwanda and the like eti ndiyo appropriate development partners!
 
Sasa unataka Nchi za Africa ziwache kushirikiana ziomboleze nanyi huku zikiwatunukia sifa kwa mambo mliofanya zaidi ya miaka hamsini huko nyuma? Danganyikan mentality ni very petty.
 
.....yet, mwenyekiti wa chama chetu anaona Zimbabwe, Namibia, Rwanda and the like eti ndiyo appropriate development partners!
Ungependa nchi zipi ndio ziwe development partners?, umesahau kwamba Uzi huu umefunguliwa na mtu anayefurahia kuwepo na ushirikiano wa kibiashara miongoni mwa nchi za Africa, na amediriki kuzikebehi nchi za kibeberu?. Mbona hujataja South Afrika?
 
Sasa unataka Nchi za Africa ziwache kushirikiana ziomboleze nanyi huku zikiwatunukia sifa kwa mambo mliofanya zaidi ya miaka hamsini huko nyuma? Danganyikan mentality ni very petty.
Lengo ni kutaka kuwaonyesha kuwa " Mwisho wa ubaya ni aibu". Leo wakenya wanafurahia utengamano wa nchi za Africa, wakati mlijitahidi kuwasaidia wazungu ili waendelee kuzitawala nchi za Africa,, kwanini msiende kuomba "Membership ya E U?
 
Sasa unalia machozi? Hahaha
 
Lengo ni kutaka kuwaonyesha kuwa " Mwisho wa ubaya ni aibu". Leo wakenya wanafurahia utengamano wa nchi za Africa, wakati mlijitahidi kuwasaidia wazungu ili waendelee kuzitawala nchi za Africa,, kwanini msiende kuomba "Membership ya E U?
Mara mpo EAC mara SADC yani mnayumba kila siku na kwa sasa muungano wa Afrika yote mnasuasua Kama wasiojiamini.
 
It's a good move and a good start for economic liberation in Africa
 
Mara mpo EAC mara SADC yani mnayumba kila siku na kwa sasa muungano wa Afrika yote mnasuasua Kama wasiojiamini.
Mnaojiamini Mbona mnalia lia Tanzania kutosaini kwan mtapata hasara gan wakati nchi zilizosign ni nyingi kuliko zisizosign...
Mnacholia tz hajasign tunakijua na hatusign ng'ooooooooo
 
Mnaojiamini Mbona mnalia lia Tanzania kutosaini kwan mtapata hasara gan wakati nchi zilizosign ni nyingi kuliko zisizosign...
Mnacholia tz hajasign tunakijua na hatusign ng'ooooooooo
Kama masoko ya bidhaa zetu tunayoo so hakuna kujiunga na watu wenye nia ovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…