Hongera Mama Janeth Magufuli kwa kuelewa somo

Hongera Mama Janeth Magufuli kwa kuelewa somo

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.

Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa kwenye haya mabonanza ya CCM, matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.

Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya CCM maana yamejaa walaghai tupu.

Mama Janeth mumeo aliupiga mwingi sana, nadhani shangwe za Leo zimekupa faraja.

Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watanzania wengi, Endelea kutoshobokea shuguli za Wana CCM Heshima Yako bado ni kubwa sana na haitashuka kamwe.
 
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.

Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.

Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya CCM maana yamejaa walaghai tupu.

Mama Janeth mumeo aliupiga mwingi sana, nadhani shangwe za Leo zimekupa faraja.

Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watanzania wengi, Endelea kutoshobokea shuguli za Wana CCM Heshima Yako bado ni kubwa sana na haitashuka kamwe.
Hakika.

Pole Mama.

Kama wanavyo endelea kusimanga na kudhihaki, na sisi ambao tuko teyari kulala pale Chato, tutaendelea kuhakikisha udhalimu unafirigiswa.

Amani ikufikie kwako na kwa Familia yako.

Pamoja...Aluta Continua.
 
Miaka 50+ ya uhuru tunahangaika na umeme. Viongozi karibia wote wameenda kuvumbua bwawa la umeme wakati wengine hawakumbuki umeme umekatika lini.
Nawaambia hii nchi ni masikini sana watu wanabisha.
Miaka 50+ ya uhuru hakuna jambo la maana lililokamilika 100% lkn kila siku viongozi wanatembelea gari za gharama VX. Shida hii nchi viongozi wengi wanaakili km ya Nape.
Watu wanamwambia gharama za bando zipo juu anaanza kuchamba watu.
Hii nchi hasara sana
 
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.

Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.

Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya CCM maana yamejaa walaghai tupu.

Mama Janeth mumeo aliupiga mwingi sana, nadhani shangwe za Leo zimekupa faraja.

Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watanzania wengi, Endelea kutoshobokea shuguli za Wana CCM Heshima Yako bado ni kubwa sana na haitashuka kamwe.
Kwa jicho la karbu Magu alikuwa kiongozi bora ila kabla ya kusifu tafta qualities of good leadership afu ujumulishe na tozo za youtube,Lissu,Kagera,Sabaya,Makonda,Ben saa8,watu wasiojulikana ambao kwasasa hatuwaskii maigzo ya dini katka uongozi kauli tata uminywaji wa demokrasia,Tanzania inajiendesha kiuchumi,Kufukuzwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nk.Ila pia kama ni uongo utasema kwamba Kakobe hakukaguliwa na kuombwa mapato na TRA baada ya kumkosoa mzee wa kununua ndege na miladi ya nchi bila kupita bungeni aka mzee wa vitambulisho feki vya machinga[emoji120]
 
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.

Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.

Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya CCM maana yamejaa walaghai tupu.

Mama Janeth mumeo aliupiga mwingi sana, nadhani shangwe za Leo zimekupa faraja.

Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watanzania wengi, Endelea kutoshobokea shuguli za Wana CCM Heshima Yako bado ni kubwa sana na haitashuka kamwe.
Good 👏
 
Kwa jicho la karbu Magu alikuwa kiongozi bora ila kabla ya kusifu tafta qualities of good leadership afu ujumulishe na tozo za youtube,Lissu,Kagera,Sabaya,Makonda,Ben saa8,watu wasiojulikana ambao kwasasa hatuwaskii maigzo ya dini katka uongozi kauli tata uminywaji wa demokrasia,Tanzania inajiendesha kiuchumi,Kufukuzwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nk.Ila pia kama ni uongo utasema kwamba Kakobe hakukaguliwa na kuombwa mapato na TRA baada ya kumkosoa mzee wa kununua ndege na miladi ya nchi bila kupita bungeni aka mzee wa vitambulisho feki vya machinga[emoji120]
Bila kusahau vyeti feki na watumishi hewa, pia wakwepa kodi na wezi wa madini.
 
Hata yeye kanawiri baada ya mmewe kufa
Hakuna kitu kibaya kama kufiwa mme, siku akizikwa ndo utajuwa thamani yake haya maneno niliambiwa na mama yangu.

Watu sijui wana waza nini? Eti tangu jpm wetu afe mke wake kapendeza zaidi? Huu ni uongo ili ionekane alikuwa anamtesa.

Jpm wetu awe mbaya kiasi gani lakini ndo alimpa heshima ya ndoa mama janeth! Na ndo maan mpaka anakufa walikuwa hawajaachana! Ni wangapi wako kwenye ndoa wanateswa na maisha yanaendelea?

Na thamani aliyo nayo yote sasa hivi ni kwa sababu ya jina la jpm.

Bora angepauka akakonda ila mme wake akabaki hai! Tuseme amependeza kama unavyose kampendezea nani? Anyway......
 
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.

Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.

Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya CCM maana yamejaa walaghai tupu.

Mama Janeth mumeo aliupiga mwingi sana, nadhani shangwe za Leo zimekupa faraja.

Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watanzania wengi, Endelea kutoshobokea shuguli za Wana CCM Heshima Yako bado ni kubwa sana na haitashuka kamwe.

Kuwananga jamaa wa marehemu ni kufilisika kwa mawazo
 
Miaka 50+ ya uhuru tunahangaika na umeme. Viongozi karibia wote wameenda kuvumbua bwawa la umeme wakati wengine hawakumbuki umeme umekatika lini.
Nawaambia hii nchi ni masikini sana watu wanabisha.
Miaka 50+ ya uhuru hakuna jambo la maana lililokamilika 100% lkn kila siku viongozi wanatembelea gari za gharama VX. Shida hii nchi viongozi wengi wanaakili km ya Nape.
Watu wanamwambia gharama za bando zipo juu anaanza kuchamba watu.
Hii nchi hasara sana
Nape Hana akili Yule, ni kilaza ndani na nje ya Darasa
 
Kwa jicho la karbu Magu alikuwa kiongozi bora ila kabla ya kusifu tafta qualities of good leadership afu ujumulishe na tozo za youtube,Lissu,Kagera,Sabaya,Makonda,Ben saa8,watu wasiojulikana ambao kwasasa hatuwaskii maigzo ya dini katka uongozi kauli tata uminywaji wa demokrasia,Tanzania inajiendesha kiuchumi,Kufukuzwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nk.Ila pia kama ni uongo utasema kwamba Kakobe hakukaguliwa na kuombwa mapato na TRA baada ya kumkosoa mzee wa kununua ndege na miladi ya nchi bila kupita bungeni aka mzee wa vitambulisho feki vya machinga[emoji120]
Watu kama nyie nilitegemea kuona comments zenu
 
WATU WAMEMSAGAU NYERERE KABSA AMBAE ALITUTOA KWENYE UKOLONI NA KUTULETA KWENYE UKOLONI MAMBO LEO ILA ETI ANA-TREND MTU MMOJA TU
Magufuli alifuta legacy za watangulizi wake Kwa vitendo kugusa maisha ya watu.

Hawa wanaoendeleza mipasho wasahau, Mwamba bado yupo juu
 
Back
Top Bottom