Hongera Mama Janeth Magufuli kwa kuelewa somo

Na viongozi ni wengi mno katika maeneo yanayoweza kuongozwa na watu wachache tu, ndo maana wengi wamegeuka vyawa.
 
Dtk Magufuli anaishi. Na hapo January alihakikisha anaalika wale ambao ni wenye chuki na Dkt Magufuli tu ila cha ajabu kabisa kumbe ni wanaamini ktk utendaji wa Dkt Magufuli.
 
Unajuaje?
Kwahyo unataka kuniambia alikuwa anateswa ndani kwa ndani na ndugu tusijue? Jibu ni hapana ila wanawake wengi huwa wanakuwa na vinyongo sana kwa wanaume zao hasa linapokuja suala la umiliki wa rasilimali zilizopo katika familia na hasa mwanamke akihisi zinanufaisha upande mmoja wa mwanaume
 
Hata yeye kanawiri baada ya mmewe kufa
Analelewa na ccm na si mwandishi wa hii post.
Chama kina mjali ndio maana kanona kuliko enzi za jiwe.
Mm na familia yangu jiwe si sehemu ya moyo wangu.
 
Hivi kwa nini? Watu wanakufaga jamani?
 
unabishana na wasimbe😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…