Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi aliposema Nani sijui arudishwe dar kuukabili ujambazi, ni Nani huyo?View attachment 1776622
Nampa hongera Mama yetu Samia kwa kutusikiliza watu wa mitandaoni.
Ametoa maelekezo kwa IGP afanyie kazi issue ya ujambazi Dar es Salaam. Kwa kweli hali ni mbaya haswa huku Mikocheni.
Mama umenikosha sana.
Anaitwa afande kazwengehivi aliposema Nani sijui arudishwe dar kuukabili ujambazi, ni Nani huyo?
never heard of this bad@ss mother4ker before !Anaitwa afande kazwenge
Tatizo ma jambazi numbe moja ni hao hao ma police, kuna juzi Kati kituo cha police cha kawe Kimelalamikiwa.View attachment 1776622
Nampa hongera Mama yetu Samia kwa kutusikiliza watu wa mitandaoni.
Ametoa maelekezo kwa IGP afanyie kazi issue ya ujambazi Dar es Salaam. Kwa kweli hali ni mbaya haswa huku Mikocheni.
Mama umenikosha sana.
Pm zaidi ya 131View attachment 1776622
Nampa hongera Mama yetu Samia kwa kutusikiliza watu wa mitandaoni.
Ametoa maelekezo kwa IGP afanyie kazi issue ya ujambazi Dar es Salaam. Kwa kweli hali ni mbaya haswa huku Mikocheni.
Mama umenikosha sana.
PM 130 ZOTE ZA VIDUME HUMU. halafu mona tu ndio ya ke😂😂😂😂View attachment 1776622
Nampa hongera Mama yetu Samia kwa kutusikiliza watu wa mitandaoni.
Ametoa maelekezo kwa IGP afanyie kazi issue ya ujambazi Dar es Salaam. Kwa kweli hali ni mbaya haswa huku Mikocheni.
Mama umenikosha sana.
Hawez kuwazibit, ukiwazibit polisi umezibit ujambaz, Magu yeye aliwaminya polisYes mama ni msikivu, hao maajambazi walioanza ku-beep itakula kwao
Police wasiyo watiifu wanapata kipato kikubwa kutoka kwa Majambazi. Hakuna Jambazi asiyejulikana na Police labda kibaka muiba Ndala BuguruniUkweli kama majambazi yataturidisha nyuma halafu vyombo vyetu vya usalama vinapotezea, bora raia tujiongeze.
Ni kufanya uchunguzi binafsi kimyakimya na kuishi kimafia tu.
Kila mzazi amchunge mwanae.
Utajura Sirro anahusika.Ukweli kama majambazi yataturidisha nyuma halafu vyombo vyetu vya usalama vinapotezea, bora raia tujiongeze.
Ni kufanya uchunguzi binafsi kimyakimya na kuishi kimafia tu.
Kila mzazi amchunge mwanae.
Ofcorse mama anatakiwa kuwa mafia hapa police akigundulika anajiusisha na ujambazi ni risasi tu ndio dawa yaoHawez kuwazibit, ukiwazibit polisi umezibit ujambaz, Magu yeye aliwaminya polis
Sent using Jamii Forums mobile app