Hongera Mange for a lovely baby Kenzo

Hongera Mange for a lovely baby Kenzo

Status
Not open for further replies.
Alipandishwa chart na yule Wakili Magafu wa Imma Advocate baada ya kupigwa pale hotel Kilimanjaro Kempinski.

Baba yake alikuwa Mzee anayejiweza ila inasemekana kuwa mama alimegwa na kigogo mzito wa CCM.

Mzee kwa hasira akaamua kujiuwa na mama yake alifariki miaka michache iliyopita.

Alikuja kuzaa na Mutoto wa mujini wa Uk aitwaye Machozi sijui?

Baadaye akaja kuwa na huyo Muzungu. Alisoma Sheria na inasemwa darasani alikuwa akijiweza sana.

Ila bado aligawa uroda kushoto nakulia ingawa hakuitumia hii kufaulu mitihani.

Sasa hivi ni mmoja wa Maceleburiti wa Mujini Daresalaam, Tanzania. Anauza Nywele za bandia.

Angelifaa sana afanye kazi Wizara ya mambo ya nchi za nje kwani angelifanikisha mambo mengi sana.
duh hiyo personal CV ya Mange kiboko..... hahahaa anauza nywele za bandia:becky:
 
Alipandishwa chart na yule Wakili Magafu wa Imma Advocate baada ya kupigwa pale hotel Kilimanjaro Kempinski.

.[/COLOR]

Nkwingwa salama?....Yule jamaa wa IMMA ni Magai na si Magafu...........Magai ndo alimpaga kichapo huyu binti/mama
 
Alipandishwa chart na yule Wakili Magafu wa Imma Advocate baada ya kupigwa pale hotel Kilimanjaro Kempinski.

Baba yake alikuwa Mzee anayejiweza ila inasemekana kuwa mama alimegwa na kigogo mzito wa CCM.

Mzee kwa hasira akaamua kujiuwa na mama yake alifariki miaka michache iliyopita.

Alikuja kuzaa na Mutoto wa mujini wa Uk aitwaye Machozi sijui?

Baadaye akaja kuwa na huyo Muzungu. Alisoma Sheria na inasemwa darasani alikuwa akijiweza sana.

Ila bado aligawa uroda kushoto nakulia ingawa hakuitumia hii kufaulu mitihani.

Sasa hivi ni mmoja wa Maceleburiti wa Mujini Daresalaam, Tanzania. Anauza Nywele za bandia.

Angelifaa sana afanye kazi Wizara ya mambo ya nchi za nje kwani angelifanikisha mambo mengi sana.

Sikonge umezidi. Mange sheria kasomea wapi? Nabout na mengine uliyoyaandika hapa. Na wewe watafuta umaarufu kupitia kwa Mange?
 
Sikonge umezidi. Mange sheria kasomea wapi? Nabout na mengine uliyoyaandika hapa. Na wewe watafuta umaarufu kupitia kwa Mange?

kasomea business adminstration!
wakati yuko chuo alikua anavuta bangi kama hana akili nzuri!
 
Baba yake alikuwa Mzee anayejiweza ila inasemekana kuwa mama alimegwa na kigogo mzito wa CCM.

Mzee kwa hasira akaamua kujiuwa na mama yake alifariki miaka michache iliyopita.

Inavyosemekana baba ndiye alimega mke wa mtu kule Kigoma wakati akijenga chuo cha VETA kule baada ya mwenye mali kumshitukia aliweka mtego akamnasa. Alichukua mijibaba iliyoshiba ikamfanyia mambo yaleeeee na mkanda kuchukuliwa akapewa mke wake. Jamaa baada ya kuona mambo yamekuwa si mambo akajimaliza.
 
Hakikisha Mange unamnyonyesha mtoto huyo si chini ya miezi 6.
Sio kujifanya sister Du eti mewata zitakuwa kandambili imradi umeamua kuzaa mpe mtoto chakula chake maziwa ya mama yatosha. Sasa weka pembeni uduu kazana kunyonyesha mtoto nawewe kazana kula mitori na misupu sio unashindia sambusa na juice utakonda ka sindano.
 
Jk si kasema mkimchagua ataleta bajaj 400 kwa ajili ya akina mama wajawazito

Alivyotamka mtoa ahadi kwa kweli nilipuuza, lakini mdau ulipoitoa hapa nimejistukia nikicheka kwa nguvu! Mungu tunusuru na hizi ahadi nyingine, ila mkimuona tunaomba mtusaidie kumuelezea kuwa akonveti hizo bajaji angalau kwenye ambulensi kuu kuu. Manake nikikumbuka huko kijijini kwetu, kijiji na zahanati zilivyo mbali, miundo mbinu na hizo bajaji, sijui kama wamama wote hawajamalizia mazoezi yao huko porini!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom