Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Maoni yanakusanywa huko huko "supesi"?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi sio ustaarabu jiheshimuMtoa mada ni mjinga
Haya wewe mwenye akili muambie sasa Maria Sarungi awaandikie barua za kuteuliwa, awajulishe na tarehe ya kuanza kikao.Wee akili yako umekabidhi kwa shaka hamdu kichwa kiko kitupu hutaelewa
Upumbavu usio na kichwa wala miguu space ndio bunge la wananchi? Pumbavu kabisa maviAwali nilipokuwa naangalia ujio wa SPACE kama njia ya kufanya bunge la wananchi sikuona Kwa upana ukubwa wa forum Hii. Nikiri Kwamba Maria Sarungi ni Moja ya mtu aliyenufaika kiubunifu na utawala wa awamu ya Tano. Alipofungiwa online TV yake hakukata tamaa alifanya research ni namna gani atakwenda hewani bila kuomba leseni TCRA Wala mamlaka ya Serikali.
Finally akaja na space na nikiri Kwa watu wanaopenda kujifunza na ambao siasa za vyama siyo priority ukiingia space kupitia YouTube au tweeter na kusikiliza utagundua kwamba wapo Watanzania wenye maono makubwa na kwao Madaraka siyo kipaombele Bali wanahitaji Uhuru wa kujadiliana. Utabaini akili timamu nyingi hazipo serikalini zipo sekta binafsi, utabaini watu wanaomwamini MUNGU na wanaoishi MUNGU apendavyo siyo viongozi wala watawala bali watu wanaopata vipato vidogo vya haki kupitia akili, maarifa na ubunifu waliopewa na mwenyenzi MUNGU
Nirudi kwenye mchakato wa Sasa wa Kupata rasimu ya Katiba unaoendelea kwa Sasa. Nimeona Kwa awali wamepatika au kupigiwa Kuru watu 73, well and good. Waliopigiwa Kura wote Wana sifa ya kusaidia maoni na kujitolea lengo litimie. Ila niombe mfanye maboresho yafuatayo
1. Naomba mpate wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoamini kwenye katiba Mpya, Kila chama kitoe mjumbe mmoja. Vipo vyama kama CcM from the very beginning wao katiba Mpya siyo àgenda na hivyo tusijidanganye kwamba memba kutoka ccm atawakilisha msimamo wa chama bila chama kuridhia. Chagueni watu ambao wanakiri kwa dhati kwamba Tanzania inahitaji katiba Mpya. Naelewa hizo ni kura lakini kumbukeni na simamieni vigezo mlivyotoa,Mmesema atakayepigiwa kura awe ni yule ambaye anaamini nchi inahitaji Katiba Mpya. Jielize ni lini Nape, Kagasheki, na wengine wa aina hii wamewahi kutoka adharani wakasema wanahitaji katiba Mpya? Kwa kifupi watu Hawa ni vigumu kuwa wajumbe wa mchakato huu Kwa sababu pamoja na mawazo na misimamo Yao kuhusu katiba Bado wanaamini msimamo wa chama kuliko maslahi ya Taifa. Watu wa aina hii hata Chadema na ACT wapo,wao wanasikiliza mwenyekiti anasema Nini kitu ambacho kwenye katiba ya nchi uwezi kuwatumia watu wa aina hii lazima watakukwamisha Kwa sababu wataleta maoni ya katiba ya chama yawe maoni ya nchi
2. Mkitekeleza hoja ya kwanza mtakuwa tayari mmeondoa wana Chadema kwenye hiyo timu. Siyo afya na napinga chadema kuwa na wawakilishi wengi, awepo mmoja na siyo lazima atoke kwenye top ranks wa chama.
3. Tuwe na mwakilishi mmoja kutoka TLS kama wanaamini Katiba Mpya, LHRC na mashirika mengine yanayotetea haki za makundi Mbalimbali yanayoamini kwamba tunahitaji katiba Mpya
4. Tuwe na wawakilishi wawili mmoja mwanaume na mmoja mwanamke wanaowakilisha wazee
5. Tuwe na mwakilishi wa makundi maalulumu ,
6. Tuwe na mwakilishi wa viongozi wastaafu wakitaifa.
7. Mwakilishi wa vijana, wanahabari, diaspora wanaoamini tunataka katiba na wanaharakati mmojammoja kill kundi
8. Mwakilishi wa Kila Dini,
9. Wawakilishi wawe kutoka pande zote za Muungano.
10. Tuweke nafasi ya wajumbe waalikwa ambao watakuwa watu Wanaotoka kwenye katiba strong na jukumu lao nikushare expirience kuhusu operationalization za katiba kwao.wanaweza kuwa Watanzania au wageni.
Mkitumia makundi haya na mwengine kuomba kura itawasaidi zaidi kwamba kwenye kila kundi atakayepata kura nyingi ndiye anakuwa mwakilishi wa kundi husika.
Then hii kamati au timu kwenye kukusanya maoni ndipo sasa itakwenda kila kona ya nchi kukusanya maoni, haitabagua Wana CCM wala chadema wala wakiristo wala waislam Wala watoto Wala wazee itakusanya maoni ya wote wanaotaka na wasiotaka. Hapa naamini hata wanaccm watatoa maoni badala yakiwaweka kwenye uongozi ukiamini umepata ushiriki wao kumbe umeweka jina tu lisilo na kazi kwa sababu hakuna mwenye utashi wakusaliti msimamo wa chama na kubeba msimamo binafsi wakitaifa.
Kuhusu sekretariet pia mnatakiwa kupata watu huru watakaofanya desk revieq na kuchakata maoni bila biasness.
Naamini kwa mchango huu mtakuwa mmepata jipya lakuongoze na kupunguza. Hii rasimu ni muhimu sana
Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.
Akili kisoda mwili jumba...Wanaandika Katiba ya kikundi cha kufa na kuzikana? Au cha SACCOS? Watanzania kwa kujipa umaarufu!! Yaani tayari wameunda timu ya Katiba mpya ya Nchi ya kufikirika.
Wanaandika Katiba ya kikundi cha kufa na kuzikana? Au cha SACCOS? Watanzania kwa kujipa umaarufu!! Yaani tayari wameunda timu ya Katiba mpya ya Nchi ya kufikirika.
Mkuu nimeiwaza sana hii kauli ya Mkuu wa Nchi. Hivi hao viongozi si wana mshahara, posho, gari, nyumba na vitendea kazi vyote? Iweje Rais wa Nchi awaambie kuwa pamoja na hayo yote basi kila mmoja wao aendelee kula urefu wa kamba yake? Sijaelewa kwa kweli amemaanisha nini, labda tueleweshwe tena.Kupitia TOZO za walala hoi,
Hakuipima hii kauli kabla hajaongea.Kula kwa urefu wa kamba na wajipimie ina maana hakuna sheria na kanuni?
Resources gani wanakupotezea ammmiiiy kwani wameomba posho kutoka mfuko wa walipa kodi?
Aise kwa yanayoendelea ya Chief Hangaya na Mzee wa Msoga yanatia hasira, aibu, umaskini na ufukara
Akili zilizoko huko zinawaza kula tu. Zinakuka hadi zinavimbiwa. Yaani hadi zinaanza kuumbuana kuhusu kula na kuvimbiwa.Rafiki yangu Beatrice ngoja nikuonyeshe akili zilizopo serikalini🤡🤡🤡View attachment 2080091
Kuna kiongozi mstaafu ambae hana maslahi na CCM?Awali nilipokuwa naangalia ujio wa SPACE kama njia ya kufanya bunge la wananchi sikuona Kwa upana ukubwa wa forum Hii. Nikiri Kwamba Maria Sarungi ni Moja ya mtu aliyenufaika kiubunifu na utawala wa awamu ya Tano. Alipofungiwa online TV yake hakukata tamaa alifanya research ni namna gani atakwenda hewani bila kuomba leseni TCRA Wala mamlaka ya Serikali.
Finally akaja na space na nikiri Kwa watu wanaopenda kujifunza na ambao siasa za vyama siyo priority ukiingia space kupitia YouTube au tweeter na kusikiliza utagundua kwamba wapo Watanzania wenye maono makubwa na kwao Madaraka siyo kipaombele Bali wanahitaji Uhuru wa kujadiliana. Utabaini akili timamu nyingi hazipo serikalini zipo sekta binafsi, utabaini watu wanaomwamini MUNGU na wanaoishi MUNGU apendavyo siyo viongozi wala watawala bali watu wanaopata vipato vidogo vya haki kupitia akili, maarifa na ubunifu waliopewa na mwenyenzi MUNGU
Nirudi kwenye mchakato wa Sasa wa Kupata rasimu ya Katiba unaoendelea kwa Sasa. Nimeona Kwa awali wamepatika au kupigiwa Kuru watu 73, well and good. Waliopigiwa Kura wote Wana sifa ya kusaidia maoni na kujitolea lengo litimie. Ila niombe mfanye maboresho yafuatayo
1. Naomba mpate wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoamini kwenye katiba Mpya, Kila chama kitoe mjumbe mmoja. Vipo vyama kama CcM from the very beginning wao katiba Mpya siyo àgenda na hivyo tusijidanganye kwamba memba kutoka ccm atawakilisha msimamo wa chama bila chama kuridhia. Chagueni watu ambao wanakiri kwa dhati kwamba Tanzania inahitaji katiba Mpya. Naelewa hizo ni kura lakini kumbukeni na simamieni vigezo mlivyotoa,Mmesema atakayepigiwa kura awe ni yule ambaye anaamini nchi inahitaji Katiba Mpya. Jielize ni lini Nape, Kagasheki, na wengine wa aina hii wamewahi kutoka adharani wakasema wanahitaji katiba Mpya? Kwa kifupi watu Hawa ni vigumu kuwa wajumbe wa mchakato huu Kwa sababu pamoja na mawazo na misimamo Yao kuhusu katiba Bado wanaamini msimamo wa chama kuliko maslahi ya Taifa. Watu wa aina hii hata Chadema na ACT wapo,wao wanasikiliza mwenyekiti anasema Nini kitu ambacho kwenye katiba ya nchi uwezi kuwatumia watu wa aina hii lazima watakukwamisha Kwa sababu wataleta maoni ya katiba ya chama yawe maoni ya nchi
2. Mkitekeleza hoja ya kwanza mtakuwa tayari mmeondoa wana Chadema kwenye hiyo timu. Siyo afya na napinga chadema kuwa na wawakilishi wengi, awepo mmoja na siyo lazima atoke kwenye top ranks wa chama.
3. Tuwe na mwakilishi mmoja kutoka TLS kama wanaamini Katiba Mpya, LHRC na mashirika mengine yanayotetea haki za makundi Mbalimbali yanayoamini kwamba tunahitaji katiba Mpya
4. Tuwe na wawakilishi wawili mmoja mwanaume na mmoja mwanamke wanaowakilisha wazee
5. Tuwe na mwakilishi wa makundi maalulumu ,
6. Tuwe na mwakilishi wa viongozi wastaafu wakitaifa.
7. Mwakilishi wa vijana, wanahabari, diaspora wanaoamini tunataka katiba na wanaharakati mmojammoja kill kundi
8. Mwakilishi wa Kila Dini,
9. Wawakilishi wawe kutoka pande zote za Muungano.
10. Tuweke nafasi ya wajumbe waalikwa ambao watakuwa watu Wanaotoka kwenye katiba strong na jukumu lao nikushare expirience kuhusu operationalization za katiba kwao.wanaweza kuwa Watanzania au wageni.
Mkitumia makundi haya na mwengine kuomba kura itawasaidi zaidi kwamba kwenye kila kundi atakayepata kura nyingi ndiye anakuwa mwakilishi wa kundi husika.
Then hii kamati au timu kwenye kukusanya maoni ndipo sasa itakwenda kila kona ya nchi kukusanya maoni, haitabagua Wana CCM wala chadema wala wakiristo wala waislam Wala watoto Wala wazee itakusanya maoni ya wote wanaotaka na wasiotaka. Hapa naamini hata wanaccm watatoa maoni badala yakiwaweka kwenye uongozi ukiamini umepata ushiriki wao kumbe umeweka jina tu lisilo na kazi kwa sababu hakuna mwenye utashi wakusaliti msimamo wa chama na kubeba msimamo binafsi wakitaifa.
Kuhusu sekretariet pia mnatakiwa kupata watu huru watakaofanya desk revieq na kuchakata maoni bila biasness.
Naamini kwa mchango huu mtakuwa mmepata jipya lakuongoze na kupunguza. Hii rasimu ni muhimu sana
Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.
Tunasubiri kwa hamu.Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.
Uzi umejitosheleza. Hii ni kama Katiba Initiative ya Kenya na ilileta mafanikio makubwaAwali nilipokuwa naangalia ujio wa SPACE kama njia ya kufanya bunge la wananchi sikuona Kwa upana ukubwa wa forum Hii. Nikiri Kwamba Maria Sarungi ni Moja ya mtu aliyenufaika kiubunifu na utawala wa awamu ya Tano. Alipofungiwa online TV yake hakukata tamaa alifanya research ni namna gani atakwenda hewani bila kuomba leseni TCRA Wala mamlaka ya Serikali.
Finally akaja na space na nikiri Kwa watu wanaopenda kujifunza na ambao siasa za vyama siyo priority ukiingia space kupitia YouTube au tweeter na kusikiliza utagundua kwamba wapo Watanzania wenye maono makubwa na kwao Madaraka siyo kipaombele Bali wanahitaji Uhuru wa kujadiliana. Utabaini akili timamu nyingi hazipo serikalini zipo sekta binafsi, utabaini watu wanaomwamini MUNGU na wanaoishi MUNGU apendavyo siyo viongozi wala watawala bali watu wanaopata vipato vidogo vya haki kupitia akili, maarifa na ubunifu waliopewa na mwenyenzi MUNGU
Nirudi kwenye mchakato wa Sasa wa Kupata rasimu ya Katiba unaoendelea kwa Sasa. Nimeona Kwa awali wamepatika au kupigiwa Kuru watu 73, well and good. Waliopigiwa Kura wote Wana sifa ya kusaidia maoni na kujitolea lengo litimie. Ila niombe mfanye maboresho yafuatayo
1. Naomba mpate wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoamini kwenye katiba Mpya, Kila chama kitoe mjumbe mmoja. Vipo vyama kama CcM from the very beginning wao katiba Mpya siyo àgenda na hivyo tusijidanganye kwamba memba kutoka ccm atawakilisha msimamo wa chama bila chama kuridhia. Chagueni watu ambao wanakiri kwa dhati kwamba Tanzania inahitaji katiba Mpya. Naelewa hizo ni kura lakini kumbukeni na simamieni vigezo mlivyotoa,Mmesema atakayepigiwa kura awe ni yule ambaye anaamini nchi inahitaji Katiba Mpya. Jielize ni lini Nape, Kagasheki, na wengine wa aina hii wamewahi kutoka adharani wakasema wanahitaji katiba Mpya? Kwa kifupi watu Hawa ni vigumu kuwa wajumbe wa mchakato huu Kwa sababu pamoja na mawazo na misimamo Yao kuhusu katiba Bado wanaamini msimamo wa chama kuliko maslahi ya Taifa. Watu wa aina hii hata Chadema na ACT wapo,wao wanasikiliza mwenyekiti anasema Nini kitu ambacho kwenye katiba ya nchi uwezi kuwatumia watu wa aina hii lazima watakukwamisha Kwa sababu wataleta maoni ya katiba ya chama yawe maoni ya nchi
2. Mkitekeleza hoja ya kwanza mtakuwa tayari mmeondoa wana Chadema kwenye hiyo timu. Siyo afya na napinga chadema kuwa na wawakilishi wengi, awepo mmoja na siyo lazima atoke kwenye top ranks wa chama.
3. Tuwe na mwakilishi mmoja kutoka TLS kama wanaamini Katiba Mpya, LHRC na mashirika mengine yanayotetea haki za makundi Mbalimbali yanayoamini kwamba tunahitaji katiba Mpya
4. Tuwe na wawakilishi wawili mmoja mwanaume na mmoja mwanamke wanaowakilisha wazee
5. Tuwe na mwakilishi wa makundi maalulumu ,
6. Tuwe na mwakilishi wa viongozi wastaafu wakitaifa.
7. Mwakilishi wa vijana, wanahabari, diaspora wanaoamini tunataka katiba na wanaharakati mmojammoja kill kundi
8. Mwakilishi wa Kila Dini,
9. Wawakilishi wawe kutoka pande zote za Muungano.
10. Tuweke nafasi ya wajumbe waalikwa ambao watakuwa watu Wanaotoka kwenye katiba strong na jukumu lao nikushare expirience kuhusu operationalization za katiba kwao.wanaweza kuwa Watanzania au wageni.
Mkitumia makundi haya na mwengine kuomba kura itawasaidi zaidi kwamba kwenye kila kundi atakayepata kura nyingi ndiye anakuwa mwakilishi wa kundi husika.
Then hii kamati au timu kwenye kukusanya maoni ndipo sasa itakwenda kila kona ya nchi kukusanya maoni, haitabagua Wana CCM wala chadema wala wakiristo wala waislam Wala watoto Wala wazee itakusanya maoni ya wote wanaotaka na wasiotaka. Hapa naamini hata wanaccm watatoa maoni badala yakiwaweka kwenye uongozi ukiamini umepata ushiriki wao kumbe umeweka jina tu lisilo na kazi kwa sababu hakuna mwenye utashi wakusaliti msimamo wa chama na kubeba msimamo binafsi wakitaifa.
Kuhusu sekretariet pia mnatakiwa kupata watu huru watakaofanya desk revieq na kuchakata maoni bila biasness.
Naamini kwa mchango huu mtakuwa mmepata jipya lakuongoze na kupunguza. Hii rasimu ni muhimu sana
Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.
Hongera kuzinduka. Wapo wengi walichelewa kuujua ukweli huu sasa wameungana na sisi.Aise kwa yanayoendelea ya Chief Hangaya na Mzee wa Msoga yanatia hasira, aibu, umaskini na ufukara.
Kwa mara ya kwanza nakubali. Tunahitaji KATIBA mpya. Tena leo leo.
Sio kweli. Iliyoandikwa na watu wachache ndio hii inapigiwa kelele. Hayo makundi yaliyoanishwa sio yanayokwenda kuandika bali kuweka mstakabali wa namna Katiba inatakiwa kuandikwa kwa heri na amani bila misuguano.Hakuna katiba ya maana inayoweza kuandikwa kwa namna hiyo unayotaka ya kuweka wawakilishi wa makundi, katiba nzuri inahitaji kuandikiwa na watu wachache wenye utaalamu mkubwa wa haki, uongozi na utawala bora, wengi lazima wawe wanasheria bila kujali makundi wanayotoka.
Tatizo la katiba hii sio kwa sababu walikuwa wachache walioiandika bali kwa sababu walioindika hawakuwa na maona makubwa ya mbeleni kuhusu nchi na walijikita zaidi kupata nyaraka itakayodumisha nguvu zao kuliko uhuru na maendeleo ya watu. Mwaka 1977 nchi hii ilikuwa kijani kitupu hivyo haijalishi idadi ya watu ambao wangehusika kuandika katiba, matokeo yangekuwa ni yale yale.Sio kweli. Iliyoandikwa na watu wachache ndio hii inapigiwa kelele. Hayo makundi yaliyoanishwa sio yanayokwenda kuandika bali kuweka mstakabali wa namna Katiba inatakiwa kuandikwa kwa heri na amani bila misuguano.