ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kama hutaki statistics haya maneno yana toka wapi si utulie usha pigwa bombaUnataka statistics zipi?Si umeshachukua kikombe kwa penalty?
Kwa nini unataka kuishi kwa statistics kama unavyoishi bara?bingwa wa kihistoria?
Acha kushabikia ujinga ww hujapiga shut hata moja on target unashabikiaKwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.
Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.
Simba nguvu moja
paka shume kanyonyolewa manyoya.Penalty unashangilia kiasi hiki?
Bado wala sisi haitustui,ushindi wa matuta haunogi!
# Simba nguvumoja
Off target hioHivi shuti LA dilunga kugonga mwamba siyo shot on target
Kama hutaki statistics haya maneno yana toka wapi si utulie usha pigwa bombaView attachment 1677017
Matola Simba Hatufai hata kuwa kocha Msaidizi
Hopeless team.. hata shambulio mmoja ktk dkk 90 Simba haikuweza kukaribia Langoni...Kwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.
Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.
Simba nguvu moja
Ila wenzako wanaumia we endelea kujifariji.Ukizingatia ushindi wa jana unawapeleka Group Stage ya Champions league barani afrika na mtacheza na tp mazembe wagumba fc mliozaa Jana.
Lile neno kikosi kipana limekufa siku hizi?Nyie ndio mtaccheza na al ahly, nendeni pia na baharini mkapige picha na kombe lenu la mapinduzi ya kisiasa zanzibar kubwa kama shisha.
Kama kikosi cha pili kinaweza kuwahimili wachezaji wote wa utopolo kikosi cha kwanza, mnachotamba ni nini, tena kutamba kwa kushinda kwa penalt, penalt ambazo hazinaga mwenyewe kwenye upigaji.
Basi utelembwe mmeshinda?Nyie ndio mtaccheza na al ahly, nendeni pia na baharini mkapige picha na kombe lenu la mapinduzi ya kisiasa zanzibar kubwa kama shisha.
Kama kikosi cha pili kinaweza kuwahimili wachezaji wote wa utopolo kikosi cha kwanza, mnachotamba ni nini, tena kutamba kwa kushinda kwa penalt, penalt ambazo hazinaga mwenyewe kwenye upigaji.
Kwahio Azam TV ni ya Yanga?Statistics za azam media, na wao ni utopolo mana hawajui hata shots on target, simba walipiga zaidi ya shots on target 4, wao wanaandika 0, ila ndio utopolo tu hao hao.
Mshikeni huyu utelembweStatistics za azam media, na wao ni utopolo mana hawajui hata shots on target, simba walipiga zaidi ya shots on target 4, wao wanaandika 0, ila ndio utopolo tu hao hao.
Ile timu ni kubwa kwa matola wachezaji walikuwa wakicheza kwa uzoefu na vipaji binafsi kulikuwa hamna muunganiko wowote nashukuru tumefungwa maana tungeshinda ungesikia watu wanasema matola apewe mikoba.Dakika 90. Shots on target.
Simba 0 Yanga 5. Bado naona tatizo mahali kwa Simba