Hongera Matola, Hongera wachezaji wa Simba, nimefurahi kama vile tumechukua ubingwa sisi

Hongera Matola, Hongera wachezaji wa Simba, nimefurahi kama vile tumechukua ubingwa sisi

Unataka statistics zipi?Si umeshachukua kikombe kwa penalty?
Kwa nini unataka kuishi kwa statistics kama unavyoishi bara?bingwa wa kihistoria?
Kama hutaki statistics haya maneno yana toka wapi si utulie usha pigwa bomba
IMG_20210114_072229.jpg
 
Kwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.

Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.

Simba nguvu moja
Acha kushabikia ujinga ww hujapiga shut hata moja on target unashabikia
 
Kwa hakika leo nimeona mchezo ninaoutaka. Timu kana utopolo wacheza mieleka ukicheza nao soft na marefa wetu walivyo, wanaweza kukuabisha sana. Ila leo nimeona physique, nimefurahi sana. Zile kelele za wazee leo sijazisikia.

Acha wabebe kikombe hicho wawe na faraja kidogo. Sisi kazi ni moja, klabu bingwa Afrika.

Simba nguvu moja
Hopeless team.. hata shambulio mmoja ktk dkk 90 Simba haikuweza kukaribia Langoni...
Jamani mpira au mechi ni attacks (kushambulia ndiyo raha)
 
Tangazeni vita, Yanga ishakua tishio kwenu. Simba bila kuwaficha mnavimbishwa pua wakati uwezo wenu mdogo mno na wa kubahatisha bahatisha.
 
Ukizingatia ushindi wa jana unawapeleka Group Stage ya Champions league barani afrika na mtacheza na tp mazembe wagumba fc mliozaa Jana.
Ila wenzako wanaumia we endelea kujifariji.
 
Hongereni Utopolo kwa kupata kifuta machozi.
 
Nyie ndio mtaccheza na al ahly, nendeni pia na baharini mkapige picha na kombe lenu la mapinduzi ya kisiasa zanzibar kubwa kama shisha.

Kama kikosi cha pili kinaweza kuwahimili wachezaji wote wa utopolo kikosi cha kwanza, mnachotamba ni nini, tena kutamba kwa kushinda kwa penalt, penalt ambazo hazinaga mwenyewe kwenye upigaji.
Lile neno kikosi kipana limekufa siku hizi?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndio mtaccheza na al ahly, nendeni pia na baharini mkapige picha na kombe lenu la mapinduzi ya kisiasa zanzibar kubwa kama shisha.

Kama kikosi cha pili kinaweza kuwahimili wachezaji wote wa utopolo kikosi cha kwanza, mnachotamba ni nini, tena kutamba kwa kushinda kwa penalt, penalt ambazo hazinaga mwenyewe kwenye upigaji.
Basi utelembwe mmeshinda?
 
Statistics za azam media, na wao ni utopolo mana hawajui hata shots on target, simba walipiga zaidi ya shots on target 4, wao wanaandika 0, ila ndio utopolo tu hao hao.
Mshikeni huyu utelembwe
Kashalewa maskini
 
Liverpool vs Atlanta.png


Katika mechi kali ya UEFA Champion League kati ya Liverpool Vs Atlanta ya italia iliyofanyika katika Uwanja wa Anfield nyumbani kwa liverpool hadi mwisho wa mchezo wenyeji walikuwa na Zero Short on Target. Ninyi wachambuzi, naomba na hili muliongelee.

Ahsante
 
Dakika 90. Shots on target.

Simba 0 Yanga 5. Bado naona tatizo mahali kwa Simba
Ile timu ni kubwa kwa matola wachezaji walikuwa wakicheza kwa uzoefu na vipaji binafsi kulikuwa hamna muunganiko wowote nashukuru tumefungwa maana tungeshinda ungesikia watu wanasema matola apewe mikoba.
Simba waache kuishi kimazoea wamejazana Zanzibar badala ya kushugulikia haraka swala la kocha na mpaka sasa kocha wa makipa hajatangazwa
 
Back
Top Bottom