Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka

Mi ndo maana nawapaga makavu liveee..sikopeshagi Wema mbona atauza tu!!ana fans base kubwa..mnoo marafiki zake wengi tuu!!

Kuna watu wanataka maboss zao tu wafanye wakifanya wengine tabu
Ha ha ha ndiyo hapo sasa.

Sipo team Missa ila huwa nampenda anavyojua kujituma ...huo ndiyo ushabiki hata kama umpendi mtu mpongeze kwa kidogo anachofanya kujiletea maendeleo.
 
Ha ha ha ndiyo hapo sasa.

Sipo team Missa ila huwa nampenda anavyojua kujituma ...huo ndiyo ushabiki hata kama umpendi mtu mpongeze kwa kidogo anachofanya kujiletea maendeleo.
Social media kuna watu wapo kuvunja moyo wenzao kwa namna zote..mi namuombea atulie tu na duka lake tena if possible akae nwenyewe km Hamisaa unless watamuibia
 
Yani Mdogowangu ungeanzaga hii shughuli miaka ya 2000 ungekuwa mbali kinyama
Ila usijali haujachelewa
Tunamshukuru sana Mheshimiwa Raisi kwa Kauli Mbiu yake ya hapa kazi tu.. naona vijana wanachakarika kweli kweli
Risiti ya duka la Wema bonyeza video hapa

Kwani ni duka lake la kwanza? Mbona kaanza zamani na lile duka lake la kuuza bidhaa zake sijui perfume, lip shine n.k au umesahau
 
Kuna watu wana roho mbaya khaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati hafanyi chochote alikua anasemwa haya ameona ajishughulishe bado watu wanaponda.

Roho mbaya zitatuua wanawake
Siyo roho mbaya.Kuna watu ni wachawi na wanajua na wengine hawajui. So humu kuna wachawi wengi sana na wanaloga mchana tena kupitia mtandaoni km hapa.
 
Back
Top Bottom