- Thread starter
- #21
Membe kweli umejaa hekima basi tu wewe unafaa kuwa Kiongozi maana Uongozi bila hekima hauna kibali popote, wewe siyo mzungumuzaji Ila umejaa Hekima unafaa hata kuwa mshauri.
Hekima ya Membe iko kwenye ushauri wake wa namna ya kutumia kura.
Heko kachero mbobezi!