Membe kweli umejaa hekima basi tu wewe unafaa kuwa Kiongozi maana Uongozi bila hekima hauna kibali popote, wewe siyo mzungumuzaji Ila umejaa Hekima unafaa hata kuwa mshauri.
Huyu ndiye Membe aliyekuwa anadai akiguswa ananuka au mwingine?Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Membe amesalitiwa na wasaliti wa taifa
Mlitaka yy ndio awe mgombea wa upinzani au
Huyu ndiye Membe aliyekuwa anadai akiguswa ananuka au mwingine?
Amin nakwambia, Membe is a loser and a goner!Hata kwa kuchomoa batri tayari harufu imewapata kina mboga mboga.
Membe ni mgombea wa kwanza toka nchi ipate Uhuru kuteuliwa na chama na kupitishwa na tume ya uchaguzi halafu akaingia mitini kutokomea gizani !!Asante BM, ur a gentle man.
Acha ukilaza kamanda mwenzangu, yaani unashindwa kujua hata acc sahihi ya Benard Membe ni ipi hadi ukaishia kuchukua hilo parodyMabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Acha ukilaza kamanda mwenzangu, yaani unashindwa kujua hata acc sahihi ya Benard Membe ni ipi hadi ukaishia kuchukua hilo parody
Eti "niguse ninuke" matokeo yake kajiozea yeye bila kuguswaSasa Membe naye unaweza ukashangilia kweli alifanya kampeni kwao akapata watu kiduchuuu!! Kama kwao wamemkataa watz wapi watakuwa wanamtaka!!?
Membe ni mbahili kaona kuliko kupoteza hela zake bure kwa kitu ambacho ahakipo ni bora akae alee wajukuu!Membe ni mgombea wa kwanza toka nchi ipate Uhuru kuteuliwa na chama na kupitishwa na tume ya uchaguzi halafu akaingia mitini kutokomea gizani !!
Hongera sana kamanda Membe tupo pamoja mkuu!Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Fake account. Account ya Membe haina R kati ya e na nMabibi na mabwana heshima kwenu.
Wakati jitihada za kuzuia mafuriko zinaonekana tokea kwa wateuliwa tusiache kutoa pongezi panapostahili.
Bwana Membe hongera:
View attachment 1587214
Mabwana Sirro, mahera na msajili salamu kwenu.
Huyu mnayemchukia ni kipenzi cha wengi. Acheni kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe. Pana haja gani ya kujinunulia kesi?
Mwenye macho haambiwi tazama.
Palikuwa na sababu gani za msingi kwa mabomu yale tarime au kwenye msafara ule wa bwana Mwalimu?
Wananchi tunaona na ni mahakimu wema mno.
Tendeni haki mwende zenu.
Huyu mlimpandikiza safari hii mmeshtukiwa kudadadeeekiiiMembe amesalitiwa na wasaliti wa taifa
Ndio uelewe kuwa Lissu ndio atakua mgombea wakwanza tangia kupata uhuru kutoka upinzani kushika dola.Membe ni mgombea wa kwanza toka nchi ipate Uhuru kuteuliwa na chama na kupitishwa na tume ya uchaguzi halafu akaingia mitini kutokomea gizani !!