Hongera mheshimiwa mbowe

Hongera mheshimiwa mbowe

ilisha juniour

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
714
Reaction score
219
Bunge la katiba limeanza leo jioni hii,na kulitokea dosari kubwa katika utaratibu wa kupiga kura ili mwenyekiti wa muda achaguliwe,binafsi kwa roho safi na bila ushabiki wa vyama napenda nimshukuru mheshimiwa huyu kwa mchango wa maoni mazuri ambayo yameleta utaratibu unaofaa ambao umetuliza rabsha na sasa mambo yanaenda vizuri wajumbe wametulia wanapiga kura hii ni dalili njema kwamba hatutegemei mambo yataharibika kwakuwa zimeonekana dalili za maelewano na kusikilizana
 
watu wengine bana, hatukatai kumpongeza mtu lakin ni vizuri unapoandika thread kama hii useme kafanya kitu gani kizuri ili na wengine ambao hawakuona au kuskia hicho alichofanya wanufaike kupitia post yako!!
 
Yeah true true!! Hapo sifa kachukua !!

Mama mkubwa sana Munkari unaonaje tukashawishi moods kuanzisha jukwaa maalum kwa ajili ya hili Bunge maalum ili kumonitor hizi threads concern bunge la katiba? Ikiwezekana kijana wetu Tyta ambaye ni waziri kivuli wa mambo ya picha kwenye JF, apewe rasmi jukumu la kuweka picha ya matukio yote yanayotokea nje na ndani ya bunge!
 
Last edited by a moderator:
watu wengine bana, hatukatai kumpongeza mtu lakin ni vizuri unapoandika thread kama hii useme kafanya kitu gani kizuri ili na wengine ambao hawakuona au kuskia hicho alichofanya wanufaike kupitia post yako!!

walioona alichofanya watachangia,kama wewe hukuona vuta subira wakija utaelewa
 
leo bunge la katiba limeanza hivyo kutokana na bunge ilo kukosa kanuni za kuliongoza hivyo kumefanyika uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa muda sasa kuna tatizo limetokea bungeni wajumbe waliotakiwa kupiga kura ambao walihesabiwa walikuwa kama 568 baada ya kula kupigwa zikapitiliza mpaks 587 hapo ndiyo wajumbe wakaanza kubwabwanya kila mmoja na yake sasa hapo mh mbowe akatumia busara kubwa sana kulituliza bunge hilo.
 
Ngoja waje wakina Simiyu yetu, Faiza Fox, Mwekundu na ile timu nzima msikie ya kwao. BTW what I can say ni Mbowe ana busara ya uongozi.
 
leo bunge la katiba limeanza hivyo kutokana na bunge ilo kukosa kanuni za kuliongoza hivyo kumefanyika uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa muda sasa kuna tatizo limetokea bungeni wajumbe waliotakiwa kupiga kura ambao walihesabiwa walikuwa kama 568 baada ya kula kupigwa zikapitiliza mpaks 587 hapo ndiyo wajumbe wakaanza kubwabwanya kila mmoja na yake sasa hapo mh mbowe akatumia busara kubwa sana kulituliza bunge hilo.
BUSARA gani hizo? tueleze na sisi tujue! wengi tunafahamu kuwa MBOWE hana Busara hata tone!
 
Back
Top Bottom