Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio


Bado sijaelewa hapa no Studio au no kituo cha

Radio...na ni Radio inaitwaje?
 
Hongera take MTU wetu was nguvu mungu ambariki.
 
Mtu chake...hongera sana kwa Ayo
 
Pengine anataka kujiajili awe anauza tu vipindi vyake kwenye radio

Kwani hizo radio stations hazina studio zao za kutengeneza vipindi mpka watafute mtu wa kufanya. Mimi nadhani hii haikakaa clear, anayejua atujuze kafungua studio au radio station? Kama ni radio studio kazi yake ni nini? Na je zipo nyingine hapa bongo au hiyo ndo ya kwanza?
 
Hongera mkuu....nitakuja uniajiri,mie ni mwana bongo fleva,nataka kutoa singo yangu by june,mistari nishaiba hahahaaaa cc;@matumbo
 
Millard ana akili sana. Anafanya vitu kwa mipango, kwa nini asiwe anamshauri jokate shost wake. Maana jokate linakurupuka likidhani ni sifa. Safi sana Millard ayo, hayo ndiyo maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…