Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio

Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,305
Habari wanabodi,

Mtangazaji wako wa nguvu,Millard Ayo mfanyakazi wa Clouds Fm kipindi cha Amplifier amefungua studio kubwa ya kisasa iliyomghalimu mamilioni ya shilingi."Ilikuwa si kazi ndogo kuanzisha hii studio ambayo nimeijenga mwaka mmoja kwa kudunduliza kihasi kidogo kidogo ninachokipata" alisema Millard Ayo.

Studio Millard.jpg
Studio Millard2.jpg
Millard Studio.jpg
 
Studio ya radio ina kazi gani?au naye anataka kufungua radio station?
 
Back
Top Bottom