Hongera Mkwepu Jr kwa kutupa likes

Hongera Mkwepu Jr kwa kutupa likes

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kwakweli sitakuwa mwenye fadhila Kama sitafunga na kufungua mwaka 2020 kwa kumshukuru mkwepu Jr kwa kunipa Mimi binafsi likes na members wote humu.

Nakiri kusema Kama mkwepu Jr hajakupa like basi wewe una mkosi gundu na nux!!

Asante mkwepu Jr
 
1577949835180.png
 
Kuna mwingine anajiita mjr95 yeye kila uzi anakomaa na ngoja waje kukupa muongozo, huyu jamaa nimeshidwa kumuelewa kabisa.
Kwakweli sitakuwa mwenye fadhila Kama sitafunga na kufungua mwaka 2020 kwa kumshukuru mkwepu Jr kwa kunipa Mimi binafsi likes na members wote humu.

Nakiri kusema Kama mkwepu Jr hajakupa like basi wewe una mkosi gundu na nux!!

Asante mkwepu Jr
 
Wengine notification kwenye simu hatupati tutajuaje kama hii like imetoka kwa huyo jamaa
Kwakweli sitakuwa mwenye fadhila Kama sitafunga na kufungua mwaka 2020 kwa kumshukuru mkwepu Jr kwa kunipa Mimi binafsi likes na members wote humu.

Nakiri kusema Kama mkwepu Jr hajakupa like basi wewe una mkosi gundu na nux!!

Asante mkwepu Jr
 
Hizo likes zina maana gani kwani, halafu hata zizioni

Sent using Jamii Forums mobile app
Likes tell a lot aisee
Inaonyesha ulichoandika ni sensible na kinagusa jamii au ni pumba.

Pili unaheshimika au la jf; likes define your social status pia.

Kwenye points zako inaonyesha pia toka ujiunge jf umepata likes ngapi Kuna watu wana mpaka milioni likes ni Kama kafuraha flan hivi !!
 
Ok hongereni kupewa like
Likes tell a lot aisee
Inaonyesha ulichoandika ni sensible na kinagusa jamii au ni pumba.

Pili unaheshimika au la jf; likes define your social status pia.

Kwenye points zako inaonyesha pia toka ujiunge jf umepata likes ngapi Kuna watu wana mpaka milioni likes ni Kama kafuraha flan hivi !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom