mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Huu ni upambe usio na posho wewe umeteuliwa lini kuwa msemaji wetu?HAPPYBIRTHDAY MONALISA
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha
Filamonata cha 100.5 Times Fm.
JF tunamtakia maisha mema yenye
baraka na fanaka.
Huu ni upambe usio na posho wewe umeteuliwa lini kuwa msemaji wetu?
Send ur personal wishes and let everyone who feel to do so is free Country.
Kwani wewe unamsemea nani? ...kingereza chako majanga!!
Ndio nani huyo
umekosea hapo uliposema jf tunamtakia mie wala cmjui ni nani ukawa au tanzania kwanza
HAPPYBIRTHDAY MONALISA
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha
Filamonata cha 100.5 Times Fm.
JF tunamtakia maisha mema yenye
baraka na fanaka.
Ndio nani huyo
Huu ni upambe usio na posho wewe umeteuliwa lini kuwa msemaji wetu?
Send ur personal wishes and let everyone who feel to do so is free Country.
Huu ni upambe usio na posho wewe umeteuliwa lini kuwa msemaji wetu?
Send ur personal wishes and let everyone who feel to do so is free Country.
HAPPYBIRTHDAY MONALISA
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha
Filamonata cha 100.5 Times Fm.
JF tunamtakia maisha mema yenye
baraka na fanaka.
Ulipoenda chaka ni hapo ulipojitwalia Madaraka ya "kutujumuisha" wote km jf eti tum wish hep bethday.hata hao akina invisible hawana mamlaka ya moja kwa moja kujitia kutusemea jf.wao watabaki km moderators tuu na si kujivukia mipaka hovyo.kuwa mjumbe Wa jf hakukupi power ya kuwasemea wajumbe wengine.ni vyema vilivyo vya binafsi vikawasilishwa kwa upana Wa ubinafsi wake.take it
nyumba ndogo ya Mbowe wa UkawaNdio nani huyo
Heri mimi sijasema.