dikembe JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,645 Reaction score 1,439 Jan 23, 2017 #21 mbere said: Hatimae dogo kaukwaa umonita hongera kwake Click to expand... Hakuna ka tafrija ka pongezi? Tumpe zawadi za magari na nyumba?
mbere said: Hatimae dogo kaukwaa umonita hongera kwake Click to expand... Hakuna ka tafrija ka pongezi? Tumpe zawadi za magari na nyumba?
Iceman 3D JF-Expert Member Joined Sep 3, 2016 Posts 20,611 Reaction score 67,094 Jan 23, 2017 #22 chikutentema said: Huyu Dogo atakuwa kada aliyegombea akashindwa kwenye kura za maoni sasa kakumbukwa hongera kwake[emoji57] [emoji57] Click to expand... Hahahah Kapangiwa kazi nyingine huyo. Watu hawajua hata Obama alikuwa Monitor akiwa mdogo watoto wana anzia huko huko
chikutentema said: Huyu Dogo atakuwa kada aliyegombea akashindwa kwenye kura za maoni sasa kakumbukwa hongera kwake[emoji57] [emoji57] Click to expand... Hahahah Kapangiwa kazi nyingine huyo. Watu hawajua hata Obama alikuwa Monitor akiwa mdogo watoto wana anzia huko huko
mjasiliaupeo JF-Expert Member Joined Apr 21, 2013 Posts 2,162 Reaction score 3,088 Jan 23, 2017 #23 google helper said: kwa kweli sisi ndo watanzania, habari za umonita unaleta huku mamilioni ya watu wanakuja kutafuta habari za msingi ila daaaah unaleta za umonita. uhuru ukizidi unakuwa upumbavuu Click to expand... Sasa ndugu si uende kwenye jukwaa linalokuhusu huko, kwa kuanzia tu nenda la siasa
google helper said: kwa kweli sisi ndo watanzania, habari za umonita unaleta huku mamilioni ya watu wanakuja kutafuta habari za msingi ila daaaah unaleta za umonita. uhuru ukizidi unakuwa upumbavuu Click to expand... Sasa ndugu si uende kwenye jukwaa linalokuhusu huko, kwa kuanzia tu nenda la siasa
Hunyu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,774 Reaction score 4,327 Jan 23, 2017 #24 Asije akawa tu kama yule speaker wa bunge la nchi gani ile kule Africa ya... Nimesahau kidogo ngoja niangalie kwenye daftari
Asije akawa tu kama yule speaker wa bunge la nchi gani ile kule Africa ya... Nimesahau kidogo ngoja niangalie kwenye daftari
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,569 Reaction score 24,812 Jan 23, 2017 #25 mbere said: Hatimae dogo kaukwaa umonita hongera kwake Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aahahaha wee jamaa banaa...
mbere said: Hatimae dogo kaukwaa umonita hongera kwake Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aahahaha wee jamaa banaa...