zwangandaba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 747
- 1,404
Mwezi Novemba mwaka huu nilikuwa na safari kadhaa za kwenda mkoani Mtwara kwa pilika zangu binafsi.
Mara nyingi nilitumia mabasi ya usiku kutokea Mbagara rangi 3.
Cha ajabu na kushangaza sikuwahi kufikiri kwamba mikoa ya kusini kuna pisi kali kwa kiwango kile.
Wadada wana rangi za weupe wa asili wa kuvutia na mashepu kama yote. Safari ndefu takribani masaa 8 ila inakuwa fupi sana kama dk 5!
Mwezi Nov narudi tena.
Mara nyingi nilitumia mabasi ya usiku kutokea Mbagara rangi 3.
Cha ajabu na kushangaza sikuwahi kufikiri kwamba mikoa ya kusini kuna pisi kali kwa kiwango kile.
Wadada wana rangi za weupe wa asili wa kuvutia na mashepu kama yote. Safari ndefu takribani masaa 8 ila inakuwa fupi sana kama dk 5!
Mwezi Nov narudi tena.