Hongera MunaLove kwa kumlelea mtoto katika dini

Hongera MunaLove kwa kumlelea mtoto katika dini

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Wakuu wazima,

Kwanza nitoe pole kwa dada huyu kwa kuondokewa na mwanae.

Ushabiki tuweke pembeni.

Jamani Muna hongera mama pamoja na kuwa wewe ulikuwa Star ila umeweza mlea mwanao katika ile njia impasayo ya dini.

Ninekuwa nikiangalia maneno ambayo huyo mtoto akionekana akiongea kuhusu dini kwakweli anaonekana kashika dini.

Nafikiri ni wakati wa watoto wa ma star wengine kuiga kile ambacho Muna amekifanya kwa mwanae.

Hongera Muna
 
usaliti noma sana
mwanamke unabeba mimba ya mtu mwingine ukiwa ndoani
 
Shetani moja hivi...hiyo in white dress...
IMG_20180705_102100_203.jpg
 
Back
Top Bottom