fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Kama mliangalia vizuri, musonda alivyotolewa akaingizwa mzize. Alimlalamikia sana Gamondi, lakini mzize alipofunga Musonda alienda kwa Gamondi na kumpongeza kwa kumkumbatia, huo ndio uanamichezo.