Hongera Mwabukusi, John Mrema na John Heche kwa kutojihusisha na maandamano yasiyokuwa na msingi, na yenye nia ovu

Hongera Mwabukusi, John Mrema na John Heche kwa kutojihusisha na maandamano yasiyokuwa na msingi, na yenye nia ovu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
Hiki chama huwa kinajiona cha maana kikiombwa kishirikiane wengine huwa wanajiona miungu wwtu
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
CHADEMA haina makada Ina wanachama, msemo wa makada upo huko CCM
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
Tunashukuru, kwa nguvu hiyo ya kuchukia mabaya, tuambie nani walimpiga risasi lisu, nani wamemuua Ali kibao, nk
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
Waliosema hii ni SACCOS waliona mbali sanaaa
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
Leo mtalala na viatu yule jambazi wenu kapigwa na kitu cha tani 100...hku yuke mwenyekiti mwenye diploma ya mzumbe nchi imemshinda
 
Chiembe au sijui kinembe, tafuta kazi ufanye uchawa usiolipa sio deal tena, utakufa maskini usipoangalia
 
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.

Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa nini asiwe nao? Hiki ni chama cha familia? Au maandamano yalipangwa na familia?
Mental illness is real.
 
Hii ni aina ya vijana tulionao mtaani. Ndivyo wanafikiri ndivyo wanaishi. Kufumbia ukweli macho kubeza watu wanapotafuta haki. Taifa tulilonalo linahitaji maombi.

Inasikitisha sana kwa kweli. Hatujadili masuala zaidi ya vijembe.
 
Back
Top Bottom