Mbona midomo yetu badooo kabisa ndo kwanza tumeifungua...hahah π π πMuhimu tumewafunga mdomo makolo hayo mengine ni ya kocha na wachezaji wake.
Bwege Huyo mkuuIla kabla ya mechi wewe ulikuwa mchambuzi uchwara ukiipondea yanga.
Kwahiyo nawewe kwa akili yako unaamini kuwa kikosi cha simba ni bora kuliko pyramids?Sio kwa mujibu wa mimi lakini, ni CAF
Kuna vyombo vinavyofanya utafiti, ninatumia data zao. Utafiti unapingwa kwa utafiti, sio kwa hisia za mtu ambaye hata shahada ya kwanza tu hanaKwahiyo nawewe kwa akili yako unaamini kuwa kikosi cha simba ni bora kuliko pyramids?
Kwahiyo mwenye shahada akikuambia uolewe wewe utaolewa?Kuna vyombo vinavyofanya utafiti, ninatumia data zao. Utafiti unapingwa kwa utafiti, sio kwa hisia za mtu ambaye hata shahada ya kwanza tu hana
huyo atakuwa hana shahada kama wewe. Wenye shahada hawawazi mambo kwa ufupi namna hiyoKwahiyo mwenye shahada akikuambia uolewe wewe utaolewa?
Demu wangu ana shahadahuyo atakuwa hana shahada kama wewe. Wenye shahada hawawazi mambo kwa ufupi namna hiyo
atakusumbua sana baadaye, mtumie tu umuache usimuoeDemu wangu ana shahada
Mbele ya pesa hakisumbui kitu...nakushauri bwamdogo tafuta pesa sana hiyo ndio heshima hata mfalme Seleman anatumbulika kwa utajiri na sio huo upuuzi wa shahadaatakusumbua sana baadaye, mtumie tu umuache usimuoe
Hayo ni mawazo yako mkuu sikatai ππ hata mbwana samatta alipokua anakomaa na mpira kuliko masomo wapo ambao Hawa kumwelewa ila yeye aliamini mpira wa miguu...Vise versa is totally true, ulikutana na mbwenyenye si Mabeki visiki wenye uzoefu wa kazi na kujua akili yako inachowaza ni kipi kabla ya kuwatoka.
Messi alirusha masumbwi (ngumi) kule La Liga alipobanwa na kushindwa kufurukuta kabisa, sembuse wewe [emoji848][emoji38]