Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaa CPU bwana...........hii ni ile siku Babu ananilazimisha kusmile na kuomba nisimsehelee kwa bibi baada ya kumkuta akiharibu loh
Nice pic.
Safi sana babu yake mwanajamiione umeonyesha jinsi ulivyo na upendo wa dhati na mjukuu wako
Hongera mwanajamiiOne kwa kufikisha nyundo thelasini mungu akujalie maisha marefu yenye upendo,faraja, na amani tele
HAPPY BIRTHDAY
Babu dah.........natamani niirudishe nyuma siku ya jana halafu niigandishe. Aksante Babu aksante sana sasa safari ya Usalule inanukiaAfadhali tumepata sababu nyingine ya kusimashi zemu botloz, nilikua nawaza hii siku itaishaje big brother ODM,mambo ni palepale,muda ni uleule na vinywaji ni vilevile!
Hari ya kuzaliwa mjukuu, nakutakia maisha marefu yenye baraka tele.!
Mkuu usisahau umri wangu ushaenda huu, mambo mengine huwa nayasahau kabla sijayakumbuka lolHappybirthday Mwanajamii huwa napenda kusoma michango yako nakutakia afya njema na furaha nyingi maishani.
Aspirin umuvunja a golden rule,a lady's age is off limits lol!
Sijui niitikie Ahsante au Marahaba? Mjukuu mtiifu naomba mwongozo hapo.Aise ...........kazi kweli.
Babu shikamoo kwa msg nzuri kwa mjukuu
Mjukuu wa babu Happy Birthday.........Mungu akubariki siku zote....
CPU nikubali kadi yako. MJ1 ashindwe mwenyewe.
Mufalme ya Amani, Imegawa Amani.
Hilo ndilo Neeeeeno La Muuuuuunguu!