Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahi kukuongezea siku.You have just made my day pal........nimecheka vibaya!:ballchain:
Aah! Keren we bado sana tatizo huanza ukikaribia 40 utaanza kuwa sensitive na age yako.Hii nimeipenda....nafikiri na mimi nitatumia huu mkakati! Kuanzia mwaka huu, miaka yangu haiongezeki tena....🙂
Nimefurahi kukuongezea siku.
Aah! Keren we bado sana tatizo huanza ukikaribia 40 utaanza kuwa sensitive na age yako.
Mi nakufahamu labda umenisahau nilikupa hankechief ukafutia jasho usoni nikakuachia lol!Hahahahah....unanifurahisha uporoto unavyoongea kama vile wanijua...🙂 huwezi kujua kwanini na mimi nataka kama dada yako..:lol:
Mi nakufahamu labda umenisahau nilikupa hankechief ukafutia jasho usoni nikakuachia lol!