Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kati ya wanalumumba buku7 huyu johnthebaptist anajielewa sometimes hata mada zake kunua kipindi anakuwa neutral
Huyo Bwashee johnthebaptist ukiona anakuja jukwaani na mada zenye mashiko kama hii ya Kamanda wa Chadema, basi ujue hajalipwa posho yake pale Lumumba.
Akishalipwa tu hiyo posho yake ya siku, huwa ni nadra sana kumtofautisha na Bia yetu.