Kati ya wanalumumba buku7 huyu johnthebaptist anajielewa sometimes hata mada zake kunua kipindi anakuwa neutral
Hahahaha!!! Daaah wewe jamaa aiseeHuyo Bwashee johnthebaptist ukiona anakuja jukwaani na mada zenye mashiko kama hii ya Kamanda wa Chadema, basi ujue hajalipwa posho yake pale Lumumba.
Akishalipwa tu hiyo posho yake ya siku, huwa ni nadra sana kumtofautisha na Bia yetu.
Unaposema maendeleo hayana vyama unamaanisha nini?Maendeleo hayana vyama na Siasa siyo uadui.
Nipata taarifa kuwa mgombea udiwani kata ya Gangilonga Iringa mjini mwanabodi Allen Kilewela amerejeshwa kwenye kinyang'anyiro na NEC.
Hongera zake tukutane 28 October!
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu ukimaliza kuchat ebu njoo hapa Meatu Mwanhuzi jimboni kwa Leah Komanya,fika hapa CCM,katibu wa wazazi ana mzinga wa K-Vant kwa ajili yako,all on me!Maendeleo hayana vyama na Siasa siyo uadui.
Nipata taarifa kuwa mgombea udiwani kata ya Gangilonga Iringa mjini mwanabodi Allen Kilewela amerejeshwa kwenye kinyang'anyiro na NEC.
Hongera zake tukutane 28 October!
Maendeleo hayana vyama!
Wanavyo muogopa utadhani ni mtume!Hayo maneno angeenda kumwambia baba yake sijui mjomba ake Jiwe angekuwa kafanya la maana sana
Muulize JPM,johnthebaptist tist amemnukuu tuUnaposema maendeleo hayana vyama unamaanisha nini?
Kuna siku gia zinaingia vizuriKati ya wanalumumba buku7 huyu johnthebaptist anajielewa sometimes hata mada zake kuna kipindi anakuwa neutral
Ahahahahah,***** jf,ahahaha dahHuyo Bwashee johnthebaptist ukiona anakuja jukwaani na mada zenye mashiko kama hii ya Kamanda wa Chadema, basi ujue hajalipwa posho yake pale Lumumba.
Akishalipwa tu hiyo posho yake ya siku, huwa ni nadra sana kumtofautisha na Bia yetu.
Muda aliopotezewa unafidiwaje?? Upuuzi wa NEC umefika mwisho. Lissu atawaingiza kidole jichoni