Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli ajali huwa zipo tu hasa mwezi wa nane na wa tisa... pili trafiki wamepunguzwa sana mijini.Trafiki wamepungua lakini ajali zimeongezeka yan ukifungua tu data mtandaoni,lazima ukutane na ajali inayohusu mabasi yaendayo mkoani..na watu wanandei si mchezo,juzi,jana,leo..so sad
Akikujibu unitag niko apa matako Bar nakunywa bia akikujibu nitagi nije kumnunulia Savana nneMfano fuso kuacha njia na kupinduka, trekta kugongana na gari usiku trafiki angezuiaje?
Matako bar!!??…🤔 Hili jina limenivitia kidogo..hebu toa lokesheni kidogo,nimepewa kakodi ka kajumba kangu nataka nikashangae kidogoAkikujibu unitag niko apa matako Bar nakunywa bia akikujibu nitagi nije kumnunulia Savana nne
hizo ulizozitaja haziitaji trafiki. Nauliza hizi za karibuni ambazo zimetokea kwenye barabara kuu tena mchana kweupe au wewe uanze kukaa barabarani ili uweze kuzuia hizo ajali nadhaniMfano fuso kuacha njia na kupinduka, trekta kugongana na gari usiku trafiki angezuiaje?
nimeshamjibu na hakuna mtu aliyekuomba kitu hapa.Akikujibu unitag niko apa matako Bar nakunywa bia akikujibu nitagi nije kumnunulia Savana nne