WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Hongera sana mwana familia mwenzetu wa JF mzee wa rula na familia yako!
Natambua kuwa Mungu amewajalia mtoto wa kike jana jumapili saa 6.30 mchana hapo Selian (LMC) Arusha.
Tunawaombea mama na mtoto afya njema,,zaidi tunamuombea mtoto akue ktk maadili mema.Hongera sana!
WL
Natambua kuwa Mungu amewajalia mtoto wa kike jana jumapili saa 6.30 mchana hapo Selian (LMC) Arusha.
Tunawaombea mama na mtoto afya njema,,zaidi tunamuombea mtoto akue ktk maadili mema.Hongera sana!
WL
