Namaanisha muda wa mtori umefika.
Ila wewe nina kesi na wewe kubwa sana sijui utaimalizaje
Nilianza hiviHa ha ha! ni macho yako wala hujasoma vibaya,,,lol! najua ni kawaida yako kuogopa leo ntaondoa huo uoga,,,,lol
Mzee wa Rula akanipa matumaini.Atapewa kitu mkuu, kwani mkuu ulikuwa unataka kuwania jimbo?
Hapa nilikuwa nataka uhakikaNisaisie kiongozi, kama hilo jimbo liko wazi nivunje ukimya, niondoe woga afu nitangaze nia.
Kama kawaida, mzee wa rula alikuwa kambi yanguKifupi ni jimbo la ukweli balaa, nitakujuza mkuu kama kambi ya upinzani haijalisomba. Tehe tehe tehe.
Mara akaibuka WikiLeaks kufichua tuhuma nzitoUkishafanya yote hayo, mwisho kbsa wasiliana na jamaa ambae sitamtaja(kwa heshma yake), lkn jina lake linaanzia na KI....na kuishia na ,..Y , na huwa linaandikwa na marangi mekundu!
Kama kawa mzee wa rula akawa kambi moja na babuPJ hiyo ni Rula balaa, yaani KI...Y! Huwa anaandikia maandishi mekundu, anipe mji akikosa jibu kwa mujibu wa dondoo zako.
Mara jimbo likawa wazi tayari kwa babu kulitwaaUsiniwekee kauzibe basi au,,,,,,,,
Mara akatokeza mnoko flani wa usalule.Mzee wa WikiLiks habari yako bana, Hata mimi namtafuta huyo jamaa asee ngoja nifanye Google search!! lol
Kumbe jimbo lina mwenyewe!...Hii KI.....Y ndio inamiliki hili jimbo kumbe.ha ha ha!me love this,,,one compliment for u...............
Wa pili wa kwanza alikuwa ni kike hali kadhalika huyu naye, nashukuru Mungu sana.
Kwetu sisi, yeyote kati baba au mama akikasirika maziwa hayatoki kwa mtoto.
Hebu mwache kwanza huyu jamaa na hayo makesi yenu, mtamalizana mtoto akikua... kama ni hela sema unamdai shiing' ngapi nikufowadie fasta!-
Ila kama n mambo ya NANIHINO miye simo...jadilianeni mpate muafaka!
Nilianza hivi
Mzee wa Rula akanipa matumaini.
Hapa nilikuwa nataka uhakika
Kama kawaida, mzee wa rula alikuwa kambi yangu
Mara akaibuka WikiLeaks kufichua tuhuma nzito
Kama kawa mzee wa rula akawa kambi moja na babu
Mara jimbo likawa wazi tayari kwa babu kulitwaa
Mara akatokeza mnoko flani wa usalule.
Kumbe jimbo lina mwenyewe!...Hii KI.....Y ndio inamiliki hili jimbo kumbe.
Babu anarudi kitandani kulala akisubiri jimbo mojawapo liwe wazi ajaribu bahati yake.
Namaanisha muda wa mtori umefika.
Ila wewe nina kesi na wewe kubwa sana sijui utaimalizaje
Kumbe dola 500 tu ndo mnataka mtoto akose nyonyo aisee?.....Nenda kaangalie account yako, au kama unakuwa notified kwa simu utakuwa umepata alert.Ha ha ha ha ha PJ wewe namdai dolla 500 tu. Tuma kwa Dena Amsi Kimolo GOSS kwa Western Union au Money Gram
Weh Madam T, hapa sijakuelewa!
Kwa Wana JF wote mlionipa hongera na watakaonipa hongera mara baada ya kusoma thread hii, wote kwa pamoja nawashukuru sana. Ni kweli mke wangu amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya operation, kutokana na mtoto kukaa vibaya. Nashukuru Mungu mke wangu na mtoto wote wanaendelea vizuri, hali kadhalika mimi mwenyewe binafsi maana nilishock baada ya kuambiwa mke wako ni lazima afanyiwe operation ili kunusuru maisha yake na mtoto kwa ujumla.
Zaidi ya yote namshukuru kiongozi wangu PakaJimmy kwa kunifariji kipekee baada ya akili yangu kuamini kulikuwa na namna hadi mke wanhu kupelekea afaanyiwe operation. Hii ilitokana na ukweli mtoto wangu wa kwanza mke wangu alijifungua salama kwa njia ya kawaida. Anyway nilikubaliana na ushauri ule na mpaka sasa nipo Ok kabisa.
Mwisho nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitamshukuru WiseLady kwa kupost thread hii ambayo mpaka sasa umma mzima wa JF wanajua nina mtoto wa kike.
Ninaawaomba radhi kuto log inn immeadetly punde thread ilipokuwa hewani kwa sababu nilikuwa njiani kurudi home nikitokea hospitali.
Kwa Wana JF wote mlionipa hongera na watakaonipa hongera mara baada ya kusoma thread hii, wote kwa pamoja nawashukuru sana. Ni kweli mke wangu amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya operation, kutokana na mtoto kukaa vibaya. Nashukuru Mungu mke wangu na mtoto wote wanaendelea vizuri, hali kadhalika mimi mwenyewe binafsi maana nilishock baada ya kuambiwa mke wako ni lazima afanyiwe operation ili kunusuru maisha yake na mtoto kwa ujumla.
Zaidi ya yote namshukuru kiongozi wangu PakaJimmy kwa kunifariji kipekee baada ya akili yangu kuamini kulikuwa na namna hadi mke wanhu kupelekea afaanyiwe operation. Hii ilitokana na ukweli mtoto wangu wa kwanza mke wangu alijifungua salama kwa njia ya kawaida. Anyway nilikubaliana na ushauri ule na mpaka sasa nipo Ok kabisa.
Mwisho nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitamshukuru WiseLady kwa kupost thread hii ambayo mpaka sasa umma mzima wa JF wanajua nina mtoto wa kike.
Ninaawaomba radhi kuto log inn immeadetly punde thread ilipokuwa hewani kwa sababu nilikuwa njiani kurudi home nikitokea hospitali.
Mambo yako?
Kumbe dola 500 tu ndo mnataka mtoto akose nyonyo aisee?.....Nenda kaangalie account yako, au kama unakuwa notified kwa simu utakuwa umepata alert.
Usiwasumbue tena eeh!
Kuchanyikiwa ndugu yangu lakini ukweli ndiyo huo ndugu yangu.
Msindima,Ok kaka hamna shida, vipi wifi yangu bado yuko hospital? maana bado mgonjwa wangu yuko hapo ili nikija nimwone.
Mwenye mali anachukua vilivyo vyake au vinginevyo?Andaa zawadi mwezi wa tisa shap,,,,,,,