Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
Wazima mkuu, nashukuru Mungu.Kumbe ndo maana.............
Hongera sana Mzee wa rula, hope mama na mtoto wako salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazima mkuu, nashukuru Mungu.Kumbe ndo maana.............
Hongera sana Mzee wa rula, hope mama na mtoto wako salama
Ward No. 8B Maternity.Msindima,
Mgonjwa wetu huyu atabaki hospitali nadhani kwa siku 3 kuanzia jana...
Hivyo waweza kumpitia ukamtafuta na kusalimiana nae...Wasiliana na MwaR akuelekeze Ward No!
...right?
Bado yupo Ward No. 8B Maternity nami muda huo nitakuwepo nilitoka kidogo. I hope no zangu unazo kama ukikwama.Ok kaka hamna shida, vipi wifi yangu bado yuko hospital? maana bado mgonjwa wangu yuko hapo ili nikija nimwone.
Nashukuru kwa kuwa balozi wangu, ile adhabu niliplann kukupa nimeifuta rasmi sasa.Kwetu sisi, yeyote kati baba au mama akikasirika maziwa hayatoki kwa mtoto.
Hebu mwache kwanza huyu jamaa na hayo makesi yenu, mtamalizana mtoto akikua... kama ni hela sema unamdai shiing' ngapi nikufowadie fasta!-
Ila kama n mambo ya NANIHINO miye simo...jadilianeni mpate muafaka!
Asprin umenifurahisha sana, nadhani umeconclude kuwa jimbo lina mweyewe. Kama ni hivyo isikuume mkuu, majimbo kibao bora uwe na sera za uhakika kwa sababu uchaguzi wenyewe siyo wa rais kiasi kwamba hata ukishinda watu fulani wapo nyuma ya mshindwa kuhakikisha anashinda. Tehe tehe tehe.Nilianza hivi
Mzee wa Rula akanipa matumaini.
Hapa nilikuwa nataka uhakika
Kama kawaida, mzee wa rula alikuwa kambi yangu
Mara akaibuka WikiLeaks kufichua tuhuma nzito
Kama kawa mzee wa rula akawa kambi moja na babu
Mara jimbo likawa wazi tayari kwa babu kulitwaa
Mara akatokeza mnoko flani wa usalule.
Kumbe jimbo lina mwenyewe!...Hii KI.....Y ndio inamiliki hili jimbo kumbe.
Babu anarudi kitandani kulala akisubiri jimbo mojawapo liwe wazi ajaribu bahati yake.
Naomba akubali duwa yako, Ameeen.Hongera Mzee wa Rula.
Mungu awalinde nyote.
Ampe mtoto afya njema,
Akue, aongezeke uzito,
Ufahamu na nguvu.
Ampendeze Mungu na wanadamu pia.
Baba Ubaya nashukuru kwa hongera yako, she is new premium JF member in 20yrs to come, panapo majaliwa.Safi sana JF tumeongeza member, Hongereni Baba na Mama wa huyo new Member!!!
Kumbe dola 500 tu ndo mnataka mtoto akose nyonyo aisee?.....Nenda kaangalie account yako, au kama unakuwa notified kwa simu utakuwa umepata alert.
Usiwasumbue tena eeh!
Kimey baba yaaangu aithee kumbe tupo majiranii kabithaa halafu hatujuani, basi uje umshike mtotoo mama akishatoka wodini mkuuu. Aikambee sana mekuuuu.Aika Mbe!!, Aika sana aisee!! na wewe karibu Usalule!
Kwani ni wewe uliyeomba bann?Ha ha ha Crashwise hata wewe unanisema pembeni?? Jamani sawa bana
Ndiyo ninachokifanya yaani ni kutupa mawe kwa kwenda mbele!All the best to the baby and mother, congratulations sir.
Note: ulitakiwa uwe paternity leave kusaidia mama na kuzoea mtoto, pumzika janvini!
We mtu mbona kimya mazee, kunani? Ok nashukuru Mungu mambo yapo kwenye line.Hongera kaka