Wote tunamshangaa huyu chalii aisee!...All the best to the baby and mother, congratulations sir.
Note: ulitakiwa uwe paternity leave kusaidia mama na kuzoea mtoto, pumzika janvini!
Pj, hahahaaa! Jamaa anaambaa kwenye kona ya rula sio?Wote tunamshangaa huyu chalii aisee!...
Halafu we chalii angalia sana yule hausigeli wako...ninavokujua wewe...sijui, na hivi she yuko hospitalized:A S-coffee:...tuombe mungu!
Ndiyo maana niliona kakikombe ka kutemea mate kwenye gari yako kumbe jamaa kafanza vitu vyake, tehe tehe tehe. Nasubiri September kitu chap....mwezi wa tisa ni baby gal,,,hujaona dalili tuu?
Baba nimeibuka na mbadala kama wa babu wa Loliondo, yaani nashinda hospital kama na mimi nimepigwa kisu. Tehe tehe tehe, housegirl yuko home kivyake!Wote tunamshangaa huyu chalii aisee!...
Halafu we chalii MwR angalia sana yule hausigeli wako...ninavokujua wewe...sijui kama patakucha salama, na hivi shemegi yuko hospitalized:A S-coffee:...tuombe mungu!