Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

Je Unafikiri uteuzi DG MPYA TISS kila wakati una maslahi kwa USALAMA wa TAIFA?

  • Ndio

    Votes: 46 22.1%
  • Hapana

    Votes: 162 77.9%

  • Total voters
    208
Lini njaa inakaa tumboni ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Njaa ni hisia za kuhitaji chakula....hisia zinakaaje tumboni ?!!! Khaaa ukhty wa Chokocho umevimbiwa chele la mapembe?!!!

Tuliza kwanza ubongo ukitaka kujadili na Mimi chochote.


Kingine, mwanaume unaongea umebana sana pua, kuna usalama huani kweli?
 
Anakuwa na access ya resources zote za nchi. Zaidi mwaka huu mmewatungia sheria ya kuwapa kinga ya kutowajibika kisheria which means matendo yao hata kama yatakuwa ya kihalifu bado wanaweza kuepuka wajibikaji wa kisheria.
Hii itakuja kuback fire siku moja. Wao wanafanya kama kujilinda sijui dhidi ya nani lakini inatia mashaka.
 
Tuliza kwanza ubongo ukitaka kujadili na Mimi chochote.


Kingine, mwanaume unaongea umebana sana pua, kuna usalama huani kweli?
Umeanza GRANDEUR DELUSION zako [emoji1787][emoji1787]

Niko gado mno...clinic yako iko hapo Ar Rahma nije unifanyie DR kile kipimo cha tezi dume ugundue uyatakayo ?!!!

Lete hoja kuntu we dada wa ujombani mchambawima...
 
Vijana wa Samia wote akili zetu kubwa....acha "delusion" wewe [emoji1787][emoji1787]
 
Asante kwa uzi mzuri Me Ubongokid
 
Sasa afanyeje? Toa ushauri.
 
Sasa afanyeje? Toa ushauri.
 


Nchi ina watu zaidi ya milioni 60
Ina jeshi na power na influence duniani

Lakini account moja ya kwenye Twitter imeshindikana.

Unless ni ya Samaki na maji
 
Nssf yenye kazi kumiliki majengo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiki kipande

Tatizo kwa sisi wenye macho ya Rohoni tuliingia katika Sala, maombi na kufunga na tukagundua kwamba kulikuwa tu na mambo fulani ya wajomba zako ulikuwa unawatumia jamaa wa juu kuyaweka Sawa. Anyway hiyo issue kila mtu atakuwa ameshaijua hasa tukisikia stori za Loliondo
 
Nimejaribu tu kuwaza hivi kama kustafu au kutenguliwa kwao kuna leta shida kwa nchi maana yake uadilifu wao ni mdogo sana.
Wanaweza kufanya chochote kibaya hata wakiwa ofisini bado
Ma DGIS wote wakitenguliwa hupostiwa nje ya nchi, ubalozini, wakistaafu ndipo hurejea nyumbani kuishi under supervision kusubiria kuitika ule wito, na kusibdikizwa kwa heshima zote.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…