Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

Je Unafikiri uteuzi DG MPYA TISS kila wakati una maslahi kwa USALAMA wa TAIFA?

  • Ndio

    Votes: 46 22.1%
  • Hapana

    Votes: 162 77.9%

  • Total voters
    208
Muu,sijasema usimtoe nimesema hao sio MADC ambao unawatoa tu.Spy Master Akizingu unampa kitu kizito kama Vladmir Puttin kwa yule boss wa Wagner.ILA hakikisha amezingua kweli sio Kakataa ujinga wako then useme itakuwa Rahisi kwako kumuondoa....
I got u,unamaanisha boss wa tiss humuwajibishi kwa majungu au kukataa ujinga wa kipumbavu wa wenye mamlaka,awajibishwe akizingua haswa,na siyo akiwajibishwa apewe ubalozi,mkuu wa idara akizingua unakula kichwa,,,,,!!assalam alleykum
 
Asante kwa madini binafsi nimejifunza.
Huwa nasemaga hii nchi inataka Rais dikteta mwenye akili kubwa ndio itapiga hatua, Inataka mtu asiyejali asafishe virusi wote, uzuri kwa nchi kama Tanzania ukiwa kwenye System ni Rahisi kuwajua virusi So ni kitendo cha wewe kuamua tu kuwa keep aside.
Watch100 anawachekea tuu Tusubiri kuona 2025 vimbwanga vyake wanaweza waka mchezea dirty game.
 
Well written
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee acha masiharaa aiseee...!! Hivi unaposema nchi huwa unachukuliaje hili suala.. Jimwagie mafuta ujiwashe motoo uonee kama hata utakuwa habari zaidi ya kuhisiwa ulikuwa na matatizo ya akilii...!! Tuna matatizo mengi sana na makubwa ya kuhitaji action kama hizo lakini bado tumelala kama Makobee sasa leo kuja kutangaza hadharani Nchi kubwa kama hii Rais anataka kupinduliwaa just kwa political adv ni uzuzu mkubwa sanaa...
 
You mean ni mfano halisi.Ila Prigozhyn ni wa karibu zaidi,Hata wenye akili fupi wameshaisikia hii stori vijiweni
Mkuu umeweka madini yanayoeleweka.
Inasiktisha UWT/TISS iliyokuwa very well trained na efficient ilishageuzwa kuwa chombo cha kisiasa badala ya kuwa proffessional.
Kuwaingiza vibaka kama Sabaya na wengine wengi katika mfumo, imeua sana performace.
Miaka hiyo tunaona kwa macho yetu recruiting inaanzia sekondari, for the most intelligent kids.
Sasa hivi ni kiholela na ndugunization.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…