Maazimio kama ya makondaktaNdio sababu wakati mnatoa Azimio la kutoshirikiana na CCM mlipaswa Mjue kuwa kuna Maswala ya kitaifa ushirikiano ni Muhimu na tulipokosoa Azimio lile nyinyi mkaliunga Mkono sasa Leo mnalikimbia!
Jitahidini kutoa Maazimio machache mnayoweza kuyasimamia